pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,131
- 3,505
Hivi huyo anceloti hamuon bale au dharau anatuletea washabiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakyanani hii ni ile wewe nenda tu ila cha moto umekipata...nina mengi yakuongea ila kiufupi kwa leo tujiandae kwa msimu ujao,msimu huu sion kitu kwa kikosi hiki chenye uzembe ambao kocha anaufungia macho,timu nzima anayekerwa na perfomance mbaya ni ronaldo peke yake...ile aibu nliyokuwa naizungumzia inakaribia,hawa watoto wameonyesha njia jinsi gan inakuja hiyo aibu...
Hapa madrid kutoka ni ngumu sana, mtaji wa goli 2 si haba.
gem imeishaje wakuu??
gem imeishaje wakuu??