Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kompany: "For me Bayern & Barca are the favourites to win the UCL ahead of Madrid."
- Hope his prediction is as strong as his defence
 
UEFA Champions League quarter-final draw​
Participants are listed on the big screen ahead of the UEFA Champions League quarter-final draw in Nyon

2225294_w1.jpg
 
Hapana, simuamini Carlo hata kidogo. Ni bora nipunguze expectations ili ni-survive hiyo disaster inayoanza jumapili.

Ukiongea jumapili, Barcelona beki yao inafungua sana, kwahiyo style yetu ile ya mchezo mabao yapo kitu muhimu ni kudefence mwazo mwisho na kikosi kimehakikisha hiyo kitu.
Kwa game ya Atleti, kama umeangalia mechi ya mwisho ya draw ya 2 - 2, walipata mabao ya kushtukiza ktk sekunde 30
baada ya hapo waka-relax wakawa wasubiri mipira ya vichwa tu. Walidefence sana lakini kikosi chetu japo kilicheza bila formation lakini tukasawazisha mabao.
 
Ukiongea jumapili, Barcelona beki yao inafungua sana, kwahiyo style yetu ile ya mchezo mabao yapo kitu muhimu ni kudefence mwazo mwisho na kikosi kimehakikisha hiyo kitu.
Kwa game ya Atleti, kama umeangalia mechi ya mwisho ya draw ya 2 - 2, walipata mabao ya kushtukiza ktk sekunde 30
baada ya hapo waka-relax wakawa wasubiri mipira ya vichwa tu. Walidefence sana lakini kikosi chetu japo kilicheza bila formation lakini tukasawazisha mabao.
Bro, Atleti game ya mwisho wametupiga 4 kama tumesimama na tulikuwa tunaomba mpira uishe. Last 6 games tumecheza nao tumetoka patupu. Hao barca najua wazi hawatishi kiivyo, ila Carlo anafungwa na timu yoyote. Jamaa kushinda sisi tutegemee Individuals watakuwaje that day, sio mbinu za Coach.
 
Bro, Atleti game ya mwisho wametupiga 4 kama tumesimama na tulikuwa tunaomba mpira uishe. Last 6 games tumecheza nao tumetoka patupu. Hao barca najua wazi hawatishi kiivyo, ila Carlo anafungwa na timu yoyote. Jamaa kushinda sisi tutegemee Individuals watakuwaje that day, sio mbinu za Coach.

Game ya jumapili ndio itaamua kila kitu kwa msimu huu, na ndio itaamua nani abaki na nani aondoke. Msimu huu tuliuanza vibaya baadae kila kitu kikiwa poa. Lakini hata tulipochukua ushindi wa mechi 22 mfululizo nilikuwa naangalia game mara nyingi sikuridhishwa na perfomance in general. Kuna kasoro nyingi sana kwenye kikosi hiki.
 

Benzema: "We're going to prepare well for the match, to go to Barcelona and win"


BBC?
"We're there to work hard for the team. We work together, we defend, we attack... It depends on the match. There are good games in which we score goals, and there are others in which we don't score, but we always work hard for the team".


Modric?
"He's a great player. When he has the ball he always looks to play forwards. It is great to have a midfielder like him.



Satellite
 
Back
Top Bottom