Kweli ronaldo mavi kwa Messi
This is not good 4 my health bro, i'll be lucky to see 30 if Carlo continues.
Apewe na Bale kama asante, auziwe CristianoAlitakiwa achezeshe 4 - 4 - 2 kipindi cha pili kilipoanza. Carlo bora aende Man City tu.
Subirini hukumu yenu kesho kwa PSG
Hatar sn kwa Real,coz game za home bwana na lile goli la ugenini ndo basi tena.Naiona sare ya 1-1 next game.
siipendi barcelona ila nampenda Messi katika mechi kubwa kama hizi huwa hatari na sehemu kubwa ya matokeo hutegemewa yeye aje achukue mipira kati asambaze mbele ili ushindi upatikane ila huyu jamaa wenu hili haliwezi
Kwa kawaida watu wote wanasubiri nje, labda one hour before the match wanaingia mashabiki wa timu ngeni, kwa mfano hapo Vicente Calderon wanaingia supporters wa Real kwanza chini ya ulinzi mkali, wakiisha ndio wanaingia wenyeji. Hakuna kugombea kwasababu kila mtu ana nafasi ya kuona vizuri.
-Inawezekana ni kweli aisee, hii system ni nzuri sana.
-Ningependa hata Tanzania tuige hii kitu.
Hatutaki ubishani wa Ronaldo na Messi utatupotezea maana ya thread yetu, We are fans and supporters of Real Madrid not a single player. If you don't like one of our players for your own reason, go and jump off the building. ‪#‎HalaMadrid
Halafu watachukuaje rushwa?
Toka hapa usinifundishe cha kuandika ronaldo ni mzigo asipopewa pasi analalamika kama mtoto wa kike akikutana na wanaume anabaki anzurura tu hawezi hata kudrible amekua garasa kazi kulalama tu