ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kasha pewa thank youToni anasema baada ya Euro 2024 anatundika daluga,so ni wazi na uhakika anayebaki ni Modric kwa msimu ujao.
Hivi mkuu mara ya mwisho mchezaji wa Real Madrid kistaafu akiwa anachezea Real kana hivi Toni ilikua lini na ni Nani?waspain wameona Santiago bernabeu kuandaa matamasha ya mziki peke haitoshi wanaomba na mieleka iwepo
sikumbuki mkuu kumbukumbu zangu hazisomi nisiwe MuongoHivi mkuu mara ya mwisho mchezaji wa Real Madrid kistaafu akiwa anachezea Real kana hivi Toni ilikua lini na ni Nani?
Achana na bale.
mimi nimejiskia vibaya sana nilizani jamaa ataongeza mwaka mmoja ila Ndio ivo tena nitamis sana show zake katika ya kiwanjaHabari mbaya Hii Kwa mashabiki wa Real Madrid na wapenda Soka Kwa ujumla.
Moyo umeumia utadhani ni habari ya Msiba.
Alikuwa Zidane., alitundika daluga baada ya mashindano ya Kombe la Dunia., alipata wasaa wa kuagana na mashabiki, mashabiki walikuwa so emotional.Hivi mkuu mara ya mwisho mchezaji wa Real Madrid kistaafu akiwa anachezea Real kana hivi Toni ilikua lini na ni Nani?
Achana na bale.
Imekuwa taarifa ya ghafla sana., bado nilikuwa ninaona kama ana msimu mmoja tena mbele akituwakilisha, sijui kwanini imekuwa ghafla hivyo.Toni anasema baada ya Euro 2024 anatundika daluga,so ni wazi na uhakika anayebaki ni Modric kwa msimu ujao.
Hata ivo hatumdai. Amepigana sawa sawa ndani ya jezi yetu.
Tuwape vijana wengine fursa.
Moja ya technique ya don perez ni one old player leaves the older remains to induce young generation.
Maestro luca bado yupo kuwajenga vijana
Hahahaha we jamaa umenifanya Michele Ka chizi vileAlaba na militao hawatakiwi kabisa kuanza final ya Uefa hawa jamaa ni uchochoro Sana , mwaka Jana Madrid alipigwa 4 na city na Kati ya waliozingua ni Militao aiseee , huyu na alaba wakianza Dortmund apiga ya kutosha , kupata majeraha ilikuwa blessing kwa madrid
Acha Utoto basiNaangalia mazoezi ya dortmund hapa kwakweli mkipata hata on target nahama nchi
Tony kafata nyayo zake, anataka kustaafu akiwa bado katika pick kama Zizzou.Alikuwa Zidane., alitundika daluga baada ya mashindano ya Kombe la Dunia., alipata wasaa wa kuagana na mashabiki, mashabiki walikuwa so emotional.
Naangalia mazoezi ya dortmund hapa kwakweli mkipata hata on target nahama nchi
Alaba na militao hawatakiwi kabisa kuanza final ya Uefa hawa jamaa ni uchochoro Sana , mwaka Jana Madrid alipigwa 4 na city na Kati ya waliozingua ni Militao aiseee , huyu na alaba wakianza Dortmund apiga ya kutosha , kupata majeraha ilikuwa blessing kwa madrid