Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hili li timu linacheza ovyo ovyo tu ,halafu linashinda ,mpira mbovuuuu ,hamna ladha .
Pumbavu ,mbeleko fc haikupaswa kuvuka semifinal ,Tuchel na Bayern walifanyiwa hujuma
 
Hili li timu linacheza ovyo ovyo tu ,halafu linashinda ,mpira mbovuuuu ,hamna ladha .
Pumbavu ,mbeleko fc haikupaswa kuvuka semifinal ,Tuchel na Bayern walifanyiwa hujuma
kama ingekua kucheza mpira mzuri kunaleta makombe kipara leo angekua anaongoza kwa kubeba champions leauge
 
Mpaka nilipasua simu kwa hasira nawachukia mno. Akitoka shetani kwenye list yangu mnafata nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…