The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Kwani kuna tatizo kuabudu kitu kinachokupa mafanikio badala ya lawama na kuongea sana huku unarusha mate kwamba timu yako inaabudu bikira maria na haichukui kombeDevels worshipper wao hawajui kufeli
Mzee wa ligi umekuja
perez jana anakwambia now we focous on 16
Noma sana, watu hatujamalizia kushangilia, Don anawaza kuchukua tena kombe Msimu ujao.,perez jana anakwambia now we focous on 16
ile Mentaliy ya Real madrid ni hatari sana yani ni kama ndio klabu inaanza kutafta new champions leauge wakati tayari ina Champions leauge 15Noma sana, watu hatujamalizia kushangilia, Don anawaza kuchukua tena kombe Msimu ujao
Bado upo london?Hili li timu linacheza ovyo ovyo tu ,halafu linashinda ,mpira mbovuuuu ,hamna ladha .
Pumbavu ,mbeleko fc haikupaswa kuvuka semifinal ,Tuchel na Bayern walifanyiwa hujuma
kama ingekua kucheza mpira mzuri kunaleta makombe kipara leo angekua anaongoza kwa kubeba champions leaugeHili li timu linacheza ovyo ovyo tu ,halafu linashinda ,mpira mbovuuuu ,hamna ladha .
Pumbavu ,mbeleko fc haikupaswa kuvuka semifinal ,Tuchel na Bayern walifanyiwa hujuma
HahaaaaaaNoma sana, watu hatujamalizia kushangilia, Don anawaza kuchukua tena kombe Msimu ujao.,
Pole sanaView attachment 3006929
Mpaka nilipasua simu kwa hasira nawachukia mno. Akitoka shetani kwenye list yangu mnafata nyie
we ni kichaa kwahyo akili yako ilivokua inakutuma wale watoto jana wangebeba kombeView attachment 3006929
Mpaka nilipasua simu kwa hasira nawachukia mno. Akitoka shetani kwenye list yangu mnafata nyie