Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ila kuna mijitu inabahati Sana kucheza los blancos Kama tchouameni Yule Jamaa ni mngese sana na pia hana level wala class ya kuichezea hiyo team
 
Tume pangwa na nyie kenge pori. nilikuwa nasubiri hii siku hatimaye imekuja. NAsemaje Mtaeleza yani mlizoea kumuonea Babu klop saivi nawakomesha. Nawachukia sana real madrid akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia.
Kupangwa na nyie sio issue,shida umekurupuka na hujui jinsi mkeka utakavyoenda kuwekwa .unaropoka sana fatilia vizuri Afu baadae ndo uje uropoke vizuri
 
Kati ya mbappe na vini mmoja akae bench Akili ziwakae sawa
Na hapo ndio utakuwa mwanzo wa matatizo katika timu, binafsi sikuona umuhimu wa Mbape kuja Madrid maana timu ilikuwa imekamilika sana .
Vinicious Jr, Mbape na Bellingham Hawa wachezaji ni wabinafsi sijawahi kuona na pia wanapenda sana kutokea kwenye headlines kiufupi Anceloti asipofanya maamuzi magumu msimu hawana chao.
 
Kati ya mbappe na vini mmoja akae bench Akili ziwakae sawa
Ancelloti hana huo udhubutu, Zidane angeweza ila sio huyo jamaa., ninadhani tunapoelekea ni lazima aue winga ya kulia aongeze kiungo mmoja ili team iweze kukaa sawa., kwasababu team imekufa kati kati, labda tusubiri Camavinga na Bellingham warudi tuone watapangwa vp na team itachezaje.
Kwa jana Mbappé kidogo niliiona ana kitu, ni muda tu na bahati haujawa upande wake., Endrick yule Mtoto kama Ancelloti akimuamini atakuja kuwa mkali sana., muhimu asisikilize maneno ya watu aendelee tu na mazoezi.
 
Timu inahitaji marekebisho makubwa bila ya kumuangalia mtu usoni.

  • Mbappe lazima apangwe upande wa kushoto.
  • Arda awe trained kucheza CM ya three men midfield.
-Rodrygo au Diaz mmoja acheza No 10 wauwe wingi ya kulia.
  • Yule kinda wa brazil acheze No 9
  • Tchou asiwe untouchably, wawe wanapishana na Vinga kulingana na mazingira mechi

- Vini, Jude, Modric wafyekwe bench.
 
Wewe hua ni kumponda Jude bila hata kua na fact em nenda kaangalie twakimu za wachezaji wote kwenye hio mechi ya Mallorca ukitoa Rodrygo aliefutia kwa performance ni nani kama sio Jude?

hata huyo Rodrigo hakucheza vizuri kwenye hiyo mechi kwahiyo sioni sababu za kumzunguzia Jude. Wote ni part ya mazingira ya matatizo ya timu yanahitaji ku fixiwa
 
Nyie kenge la liga mnacheza lini. Nawachukia sana nyie kenge akitoka shetani na ccm mnafuata nyie kwa kuwachukia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…