kuna hawa vijana gen Z wanaojifanya ni washabiki wa Real Madrid ni vijana wa ovyo sana, toka majuzi nimewakuta twitter wanamshambulia Carlo kwa matusi mazitomazito kuwa hafai, wanataka Tchou na Rodrygo wawekwe bench. wengine wanalilia wanataka Alonso.
kama nakutana nao uso na macho kama hao naweza mzaba hata makofi mawili matatu
kama nakutana nao uso na macho kama hao naweza mzaba hata makofi mawili matatu