JiongezeMkuu EPL tena?
Ila hawajaizidi MallorcaBetis ni timu nzuri, msimu huu lazima tutaiona kwenye nafasi za juu
UmechanganyikiwaJiongeze
Mallorca ni waZuri kitimu ila uwezo wa mchezaji mmoja mmoja wanazidiwa na hawa wa betis.Ila hawajaizidi Mallorca
sasa wanataka waachiwe wafunge?Shida inakuja pale madrid akikutana na wapinzani pale laliga wanakamia sana safu ya ushambuliaji wa madrid na pia hawafunguki sana.Wacheki wote tulocheza nao wamekuja kupigwa na vi team vya kawaida sana.
Yani las palmas iliyotukazia imepigwa 2 kwa 0 na deportivo alaves wakati hao palmas walitukamia kishenzi. Ancelotti mwenywe alisema watu wanakamia sana kwasababu wanajua ubora wa mbape,vini na rodrygo lasiivo mvua za magoli zinahusika
Hii ata mimi nimeliona aisee Madrid wanakamiwa sana yaani timu pinzani kama zimeambizana vile kikosi kizima kinashuka chini kukabaShida inakuja pale madrid akikutana na wapinzani pale laliga wanakamia sana safu ya ushambuliaji wa madrid na pia hawafunguki sana.Wacheki wote tulocheza nao wamekuja kupigwa na vi team vya kawaida sana.
Yani las palmas iliyotukazia imepigwa 2 kwa 0 na deportivo alaves wakati hao palmas walitukamia kishenzi. Ancelotti mwenywe alisema watu wanakamia sana kwasababu wanajua ubora wa mbape,vini na rodrygo lasiivo mvua za magoli zinahusika
Kila mtu anaofia kuoshewa na mbape,vini,rodrygo kwasababu hao majamaa wakikufunga media zote zinakulalia mfungwa.Kwasababu las palmas alifungwa lakini hamna media iliyo promote kipondo,ila ukipigwa na madrid utajua hujui.sasa wanataka waachiwe wafunge?
Ila nyie mkipaki bus UEFA fresh?Shida inakuja pale madrid akikutana na wapinzani pale laliga wanakamia sana safu ya ushambuliaji wa madrid na pia hawafunguki sana.Wacheki wote tulocheza nao wamekuja kupigwa na vi team vya kawaida sana.
Yani las palmas iliyotukazia imepigwa 2 kwa 0 na deportivo alaves wakati hao palmas walitukamia kishenzi. Ancelotti mwenywe alisema watu wanakamia sana kwasababu wanajua ubora wa mbape,vini na rodrygo lasiivo mvua za magoli zinahusika
Game recognises game brooh🙌Ila nyie mkipaki bus UEFA fresh?
Madrid inahitaj namba 9 full ST
Full backs ndo changamoto kubwa sana paleSasa hivi tuna majeruhi kibao utasema tushageuka hospital,sasa sijui ni mazoezi makali sana ya Pinto au ni mtu wa chakula kajisahau?!