Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
Sawa mdogo mdogo mtatifikia lini nyie mnao dondosha nyingi nyingi?Sawa mi nakukumbusha tu mnadondosha point mdogo mdogo.
Nyingi wakati nikishinda game yangu ya leo na Sevilla gap linakuwa point 2.Sawa mdogo mdogo mtatifikia lini nyie mnao dondosha nyingi nyingi?
Kwanini yule Vallejo yupo kwenye bench tu msimu mzima? Yule ni natural defender
Shida ya ancelotti ni mara chache kuvumbua vijana , kwasababu huo upande wa lucas ulitakiwa kuwa na mbadala hata kwa academy ya timu.
Ndio maaana Guardiola hawezi vumilia upuuzi kama anao sacrifice ancelotti,kuwa yeye akishaona pengo mara moja huchukua hatua. Nashangaa kuna game tchouameni akigusa tu mpira anazomewa lakni carlo mechi ilofata alimpanga fresh tu bila bugdha🙌
Kweli mkuu, sio sababu ya kuwa na academy halafu watoto hawapewi nafasi ya kuziba mapengo kama haya
Kwahiyo Kila mchezaji akizomewa na mashabiki Kocha unamuweka bench? Hiyo timu itakuwa inanolewa na mashabiki au Kocha?.Shida ya ancelotti ni mara chache kuvumbua vijana , kwasababu huo upande wa lucas ulitakiwa kuwa na mbadala hata kwa academy ya timu.
Ndio maaana Guardiola hawezi vumilia upuuzi kama anao sacrifice ancelotti,kuwa yeye akishaona pengo mara moja huchukua hatua. Nashangaa kuna game tchouameni akigusa tu mpira anazomewa lakni carlo mechi ilofata alimpanga fresh tu bila bugdha🙌
Kaa kwa kutulia wewe unaesubiri hadithi za nikishindaNyingi wakati nikishinda game yangu ya leo na Sevilla gap linakuwa point 2.
Kaa kwa kutulia.
Mwanzo wa msimu timu ilikosa balance kwa sababu Rodrigyo, mbappe na vin walikua wanakimbilia upende mmoja wa kushoto.Ceballos alitoa man of the match performance,
Tchou & Acensio walikuwa outstanding
Rodrygonae aliupiga mwingi
Vasques ni mzigo nyuma ila ana mchango mzuri mbele
Vini na Jude should have performed more
timu bado inashindwa kumtumia vilivyo Mbappe
Kombe lenu ni el classico sikuiziNakusubiria el clasico na timu yako yenye beki kama chujio.
Ni kweli hili kombe ni El classico.Kombe lenu ni el classico sikuizi
hizi story za academy ni takataka, timu ndogo ndio zinazoishsi kwa kutegemea academy na sio timu kubwa.
Wenzako wanachukua super cup ya Euefa wewe bado unafurahia Utoto utoto tu, utakua lini?
Ntakua nikiacha kukupiga 5.Wenzako wanachukua super cup ya Euefa wewe bado unafurahia Utoto utoto tu, utakua lini?
Hapo Valverde atahusika, na ni vile Camavinga amerudi so anaweza akacheza nafasi ya Valverde ama Modric, ila msimu huu sio mchezo,Lucas vasquez kuwakosa Manchester City... majeraha ya misuli.
Beki ya kulia anaweza kucheza vervede tena.
Sema hakuna beki wa kati mwingine wa kumtoa Yule asencio akaenda kucheza beki ya kulia.
NomaHapo Valverde atahusika, na ni vile Camavinga amerudi so anaweza akacheza nafasi ya Valverde ama Modric, ila msimu huu sio mchezo,
Yule dogo no 9 wetu Ganzalo Garcia katupia na leo tena mbili kule kwenye ligi yao ya castilla.
Kwenye mechi 22 kafunga goli 21.
Balaa hili
Akikomaa vizuri huyu itakua shida.