Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ancelotti has one of the most fcuked-up body language in futbol, jamaa ukimuangalia ni wazi hajui kinaendelea nini, anaomba tu kama sisi wachezaji wajiongeze kivyao.
 
Hatuna control kabisa ya hii game. Toni yeye magoli yake Madrid naona kaamua kupasia tu kwenye wavu
 
Hatuna control kabisa ya hii game. Toni yeye magoli yake Madrid naona kaamua kupasia tu kwenye wavu

Eti kaamua kupasia tu kwenye wavu, haha. Kitendo cha kuwaachia wacheze mpira matokeo yake ndio hivi. Sijaliona goli lao la kwanza, lakini la pili mpira umetoka pale midfield.
 
Eti kaamua kupasia tu kwenye wavu, haha. Kitendo cha kuwaachia wacheze mpira matokeo yake ndio hivi. Sijaliona goli lao la kwanza, lakini la pili mpira umetoka pale midfield.
Goli la kwanza kichefu chefu, Nolito yuko na ngoma eneo la hatari, Ramos ndio kwanza anajishungulisha na kiatu chake. Hawa jamaa wana-pay attention wakijua ni Champs league tu, mbavu zao kweli.
 
Yaani tuepuke tu majeruhi, nina hasira sana na hawa wapuuzi wanaopiga kelele eti hatuwawezi Juve. Watautafuta wale, na basi lao
 
Goli la kwanza kichefu chefu, Nolito yuko na ngoma eneo la hatari, Ramos ndio kwanza anajishungulisha na kiatu chake. Hawa jamaa wana-pay attention wakijua ni Champs league tu, mbavu zao kweli.

Labda itakuwa kama game ya Rayo, second half watatulia, lakini jamaa hawa wa Celta hawana masihara, wakatalani walitoa ulimi nje uwanja huu huu, wakapata goli la bahati dakika za mwisho, wakawa hawataki kucheza mpira tena. Nashangaa hawa mashabiki maandazi wanatubeza sisi.
 
Hawa watoto tusimamishe mpira tuwapige makofi kwanza, wanacheza na sisi kama vile tuko level moja. Hizi ni dharau
 
Hao waliumia game ya kwanza dhidi ya hivi vitoto, waache waongee tu
 
Hahaha watoto wanagongeana kwenye box yetu, Ancelotti anaminya cojones tu. Sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…