Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hahahaha Carlolina Ancelotti kiboko, kawachomesha madogo mahindi bila sababu ya msingi. What a douche!?

Bora hata asingewapa jezi tu wale watoto, sijui alitegemea nini. Nashangaa hivi Carlo hajui kama anamuumiza Kroos? We anachezesha Arbeloa na Coentrao, halafu kuna Illara na Jese, yule **** mbuzi hatumtaki kabisa, kwanini anapenda kubahatisha bahatisha.
 
C ndo hapo,yule jesse alikuwa anafanya nn c bora angetoka aingie huyo martin

Jese na Illara hata tukipigwa ban na FIFA, wale wauzwe bei yoyote tu. Hawana faida yoyote, kama yule Jese bishoo,kutwa yupo Instagram kama Diamond Platnum mpira wenyewe anatuuzi tu.
 
Hahaha Ancelotti nishamtukana sana kimoyo moyo matusi ambayo hata mwenyewe siyajui, akiendelea kufundisha huyu jamaa msimu ujao nachukua break from futbol. Ntakuwa nacheki tu results.
 
Frustrated with himself zaidi.

Cristiano hapo ndio anamkumbuka Benzema, mechi kama hizi wakicheza pamoja wanatupia tano, sio huyu Jese anakimbia mpaka anatoka yeye kona mpira upo uwanjani.
 
Mtoto kapandishwa jana leo acheze? This is real madrid sio mtakuja fc....madogo wamekaa bench ili wazidi kukua
Jesse,illara hawatatusaidia game za mwisho hizi kama tittle contendrz .... carlo aweke kikosi hard ... kikosi cha leo laini sana....ronaldo hajareact kwa ubaya bali alidhani alvaro angeacha ili yeye afunge ili aongeze wigo wa uongozi wa magoli....
Kwa ujumla wachezaji wamecheza hovyo sana labda kwa vile wengi hawajacheza pamoja before so chemistry yao imefeli....
Ushindi ni habari njema, cleansht pia ni kitu kizuri
Vamos
Hala madrid.
Next stop sevilla(with our best players back)
 
Cristiano Ronaldo had a chance to extend his tally to 40 league goals but he told the referee that he didn't..
 
Real Madrid are the only team in LA LIGA this season to score more than 100 league goals.Best attack. #HalaMadrid
 
Hahahahaha akikua ataacha usimponde sana mchezaji wetu kutoka castilla
Hahaha
Vamos
Hala madrid
 

It's simple Mathematics Lucas Silva is better Illara.Hope Ancelotti realise it soon!
 

James Rodríguez golazo steals an underwhelming show ...

 

Full Time : REAL MADRID 3- 0 ALMERÍA (James Rodríguez 44; Dos Santos 49' (p. p) '; Arbeloa 84').

 

Ancelotti: "I will play with the best XI possible vs Sevilla. Bale will join training tomorrow and Benzema will travel to Juventus."
 

POST MATCH ANALYSIS:

Real Madrid 3-0 Almeria

Real Madrid secured an important win tonight ensuring that the 2 point difference from league leaders barcelona does not increase and won the game pretty easily despite of not being able to create too many chances in the first half. The team looked tired and out of ideas due to the midweek game.

DEFENCE:

Ramos n Carvajal were out due to the suspensions so Pepe and Arbeloa started in their positions and both of them had a very good game.Infact Arbeloa was seen running everywhere on the pitch,claiming every lose ball and fighting to win possession back every time the ball was with Almeria.Arbeloa scored a well deserved goal.Varane marshaled the defence pretty well in the absence of Ramos and Casillas and showed his authority on every Almeria attack.

MIDFIELD:

James-Kroos and Illaramendi started in the midfield with a 4-3-3 being played by Ancelotti and both James and Kroos were good but Illaramendi was poor,he was unable to defend the ball even when he had the possession and played way too many stray passes,not a good thing for a player ought to become a DEFENSIVE midfielder especially for a club of Real Madrid's class. James scored a brilliant volley,he saved Real madrid today by opening the scoring when our team looked out of ideas.He has been a great signing and if he hadn't gotten injured we would have been league leaders,but I hope we will still make it with a few match days still remaining between now and the end of the season.

ATTACK:

Jese,Chicha & Ronaldo started in attack tonight and I feel sorry to say but the old Jese has vanished somewhere, after coming back from the injury, Jese has been unable to match the level of the player he once used to be,he is just a sprinter now,he is unable to put in good crosses,complete his passes or dribble through a single player.I hope he is sent out on loan to a good league to regain his old form.Chicharito and Ronaldo kept on working hard to create moves but both of them looked tired and Ronaldo couldn't find the back of the net.This means that he is just ONE goal ahead of Messi in the Pichichi and Golden boot race with Sevilla and Valencia games coming up next.Ronaldo will need to score against both sides of them to stay in contention for the Pichichi and Golden boot because of relatively easy games for Barcelona's Lionel Messi.

Nevertheless m 3 good points earned in a midweek game.


‪#‎
HALAMADRID‬
!


 
Jameeees, huyu dogo ananikosha sana. Kuna mahali nilienda nikakuta watu wanawalinganisha james na Neymar.! Niliwaangaliaaaaa, nikaishia kuwatukana kimoyomoyo.

Huyu dogo namtabiria kuja kuchukua bollon d or in next years.
 
Jameeees, huyu dogo ananikosha sana. Kuna mahali nilienda nikakuta watu wanawalinganisha james na Neymar.! Niliwaangaliaaaaa, nikaishia kuwatukana kimoyomoyo.

Huyu dogo namtabiria kuja kuchukua bollon d or in next years.

Ushabiki mwingine hausaidii sasa wewe hata ungekuwa kocha umeambiwa umsajili mmoja hv kweli ungemuacha Neymar au ni mpaka awe Madrid ndio awe mzur zaid ya James. ACHA HZO JITAHD KUWA MPENZI WA MPIRA USIWE UNASIFIA CHAKO TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…