Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Cristiano Ronaldo loves scoring against Sevilla. That was his 20th goal against them. COME ON !!
 
Tunacheza tu kama team inayofundishwa na Ancelotti inavyotakiwa kucheza, KWA KUKARIRI. Tutashinda eventually, ila ndio hivyo stress kibao.
 
Carlolina sijui anakasirika kitu.gani sasa

Ramos could do better than that. Wote wawili walikuwa mbali na mpira, an experianced player like Ramos kutoa penalty kama ile 45+ inasikitisha sana. Anyway, he's Ramos & the game is still on...
 
Tunacheza tu kama team inayofundishwa na Ancelotti inavyotakiwa kucheza, KWA KUKARIRI. Tutashinda eventually, ila ndio hivyo stress kibao.

Mi sitaki kufikiria kabisa wachezaji waliokuwa bench . Usishangae akatolewa mtu aingie Arbeloa.
 
Mi sitaki kufikiria kabisa wachezaji waliokuwa bench . Usishangae akatolewa mtu aingie Arbeloa.
Hahaha hiyo iko wazi, lazima bataloa aingie, na lazima Isco na Chicharito watoke, ni script ameshaandika Carlolina kitambo.
 
Huyu bata Gerry anatuita sisi Barca, kweli mahaba yakizidi ni hatari.
 
Timu imekufa kwenye kiungo, Carlolina anaingiza mwanariadha aliyetoka kwenye majeruhi. Smh
 

When Cristiano makes a comeback. He makes sure it can be seen from the moon. Hat-trick hero.
 
Gareth Bale has assisted Ronaldo after just 2 minutes of coming on.
 
Wish Toni could get a few minutes rest now that the game is almost dusted, but i know better.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…