Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
- Thread starter
- #5,961
Cristiano Ronaldo loves scoring against Sevilla. That was his 20th goal against them. COME ON !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Carlolina sijui anakasirika kitu.gani sasa
Tunacheza tu kama team inayofundishwa na Ancelotti inavyotakiwa kucheza, KWA KUKARIRI. Tutashinda eventually, ila ndio hivyo stress kibao.
Hahaha hiyo iko wazi, lazima bataloa aingie, na lazima Isco na Chicharito watoke, ni script ameshaandika Carlolina kitambo.Mi sitaki kufikiria kabisa wachezaji waliokuwa bench . Usishangae akatolewa mtu aingie Arbeloa.
Timu imekufa kwenye kiungo, Carlolina anaingiza mwanariadha aliyetoka kwenye majeruhi. Smh
Hatrick puto
Lucas hayuko bench. Kuna Illarra tuKwenye bench kiungo wa kumwamini labda ni Lucas, lakini hii game inatakiwa speed.