hahahaa na mimi pia ukiwapata wape salam zanguTUPACified na Salamander nawasalimu.........
I'm out wazee. Hala Madrid!!
TUPACified na Salamander nawasalimu.........
TUPACified na Salamander nawasalimu.........
Binafsi sijaridhishwa na kiwango cha leo haswa beki...magoli yote niya kizembe,penalt yakizembe kabisa iliyotokana na poor marking ya beki wa mwisho hakuwepo eneo lake hadi kusababisha counter yao kupata penalt...tumekoswa magoli ya wazi kabisa yamkini wangekuwa makini foward zao leo tungekula si chini ya goli nne...mbele kule tumekosa mbinu yakupenya matokeo yake tunatumia winger kupiga cross wakat wale jamaa ni warefu,bale alikuwa mzigo katika timu mbele kule...kwa mchezo huu naona tunashinda ila uwezo wakuwazuia nao wasifunge kama carlo hatachangamsha kikosi sion jinsi tutavyowazuia..next game bale aanze benchi,na marcelo...
kwi kwi kwi siamini kama wanakua wapole kama hivi hawa jamaa
We're always calm. Let Juve enjoy their moment. Ushindi wa leo ni muhimu sana kwao kwa vile wamecheza nyumbani, lakini tunategemea soka safi ya kufurahisha katika 2nd-leg.
Juventus watakukazia nyumbani kwako hutaamini
Ndio Carlo ajifunze, kama anapanga timu kwa kubahatisha akiona vile awe anabadilisha mapema. Lakini hakuna noma 1 away goal + wanakuja Santiago Bernabéu.[/QUOTE ] DUUH, sasa unamfundisha kocha Carlo kazi-
1. Hongereni kwa mpira wa possesion mzuri mliocheza, hii mmeonesha kuwa mmetoka Spain na sio England au Italy.
2. Kama mipira ya Cross ilikataa mlishindwa kutafuta mbinu nyingine ya ushindi, mmepiga Cross nyingi na 90% zote zimetuoa kichwani mwao.
3. Rudisha Bale EPL.
4. Kuwa makini sehemu ya kiungo, Pogba atakuwepo Bernabeu.