Daaaah hebu kielewe nilichokiandika kuwa tanguMakombe gani labda? Nakushauri usipende kuongea mambo usiyoyajua
Toka hapa hujui kitu, makombe gani?
Kuna watu nasema wameanza kuangalia mpira mwaka huu,..na wengi ni barca...they dont know kitu chochote kuhusu mpira,hao niwa kupuuza...back to bale issue,binafs naona aondoke tu maana siku zinavyozidi kwenda anazidi kuwa mzigo...pale muhimu kununua kiberenge kimoja type ya di maria na kiungo kama yule mtaalamu wa dortmund.....
Bale mwenyewe hataki kuondoka, anataka kuhakikisha anarudi kwenye form na acheze pale pale mpaka mkataba uishe.
Mwacheni Bale acheze mpira Salamander, ana qualities zote za kuichezea madrid.
Game ya jumamosi na Valencia, Carlo ameamua kuwachezesha viungo watatu tu, kwa maana hiyo Ramos atarudi kukaba na Bale atacheza na Cristiano na Chicharito. Ni formation ambayo imezoeleka pale lakini nakumbuka kuna kipindi ilipigiwa sana kelele. Mechi ya Juve mi ningependa wacheze 4-3-3 pia, lakini kwa vile Benzema anarudi bora Bale aanzie kwenye bench, ili aje afanywe sub ya Chicha, Isco au James( yoyote kati yao akionekana anapwaya kidogo). Nimewaona Juve kwenye 1st-leg wanachoka haraka, kwahiyo mbio za Bale labda zitatusaidia kipindi cha pili.
Real Madrid supporters ndio wanataka auzwe, sababu zao wanadai Bale kashindwa ku adapt style ya mchezo wa Bernabéu. Lakini yupo pale anakingiwa kifua na coach, Presidents na wachezaji. Bale akiondoka mwisho wa msimu, no problem for me. Lakini kama atabaki, watuondelee hii kitu ya kuitwa BBC, tunataka rotation, mtu kama anaboronga anakaa bench anaanza mwingine.
Bale siyo mzigo Madrid, jamaa amepewa Limited role uwanjani, kama unajua mpira na umeanza kumfatilia bale tangu yupo spurs, utagundua kuwa bale hachez kama alivyozoea, kwa mfano game Vs Juve alikuwa anatokea pembeni tu, alikuwa anashindwa kuingia mwenyewe katikati au kudrive mwenyewe mpaka kwenye eneo la hatari, coz kucheza zaid pembeni ili kumruhusu James aoperate pande zote mbili za pembeni na katikati, na kuzid kumsukuma bale chini kabisa upande wa kulia, hasa katika second half, carlo ni manager ambaye huwa anakariri sana Formations.
Sticks mnazompa Bale sometimes ni za kufata mkumbo tu, na siyo za kisoccer, hata Reus akija ishu zitakuwa ni zile zile as long as James na Isco wapo na Carlo atabakia kuwa manager wa madrid, Bale wa last season, ni tofauti na bale wa this season, na kuna sababu, coz carlo ameswitch formation katika attacking field, ili kumuaccomodate james (which is good) na Isco sometimes, na kikitokea hiki kitu lazma mchezaji mmoja apotee au ajikute katika limited role, na the bad thing is Carlo kishakariri huo mfumo, dhidi ya Juve alishindwa kabisa kutafuta plan B, but at the end of the day scapegoat akawa Bale, wakat the main problem ilikuwa ni kumchezesha Ramos kama CDM, na kama atarudia tena hivyo nyumbani, TIE itakuwa ngumu sana kwake..
Angalia nafasi anazozipata na anachokifanya,angalia maamuzi anayoyafanya akifika eneo la hatari,unaposema anacheza chini sana mbona hata kukaba hakabi sasa??anakuwa ni mzigo kwa facts hizo...sijaanza kumlaumu bale jana,angalia comments zangu za miezi ya nyuma..