Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
England hamna kitu, strikers wao Wayne Rooney na Raheem Sterling, we subiri Euro 2016 ucheke hapa.
Haha Jamaa siwakubali na kila kitu chao, hata nchi yao sioni nikienda hata kwa siku 1 tu, kamwe. Hata kipindi tunawafukuzia kina Becks, Owen, Woodgate nilikuwa naombea sana wasije.
Hahaha, jamaa wamekosaga hata mademu wakali, uwaambie kusifia kila kitu chao, lakini kwa kawaida watu huwa hawawachukulii waingereza serious.
Btw, niliona Marca kwamba Rafa anataka Keylor abaki, means kama De Gea anakuja Iker inabidi aondoke. Niliskia pia Liverpool wako tayari kutoa about 15m kwa Keylor, nadhani tungechukua hii option since we can't sell Iker for that amount + he's still the most valuable to us even as a bench-warmer. Keylor just isn't Real Madrid's material.
I still don't know what's going on in the head of Perez right now. They turn down the Keylo's offer, Iker is still there. Vile vile kuna watu kama Illara, Nacho na Arbeloa nilifikiri ndio wamemaliza msimu wanaondoka. Kila siku wamekaa kukanusha tu, ooh this is not true, oo mara this one is not for sale. Last season ilikuwa hivi hivi.
welcome back casemiro on the squad lkn kuna competition ya namba kwa nafasi anayocheza tusubir benitez atamuweka wap,lkn dogo anajua ni kipaji kizuri
Arbeloa has got to go, i'll march to Madrid just to kick el hijo del gun out man. Nacho is the best 3rd choice defender any top team can have, unless we release him and promote Derick or Diego Llorente(I like this kid). Illarra can still improve, i still feel Carlo failed to use him + dude got a badass name 'Iyaramendi!'.