Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Pogba angeenda tu Barça, si tubebe Verratti. I don't like his attitude.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pogba angeenda tu Barça, si tubebe Verratti. I don't like his attitude.
Hii ndio ile umepigwa bonge ya sucker-punch ukazimika, unaamka unakuta dogo kashamtuliza jamaa. Congrats Barça, tukutane August.
Yaani hawa ndio walituzidi ball possession hawa? Yaani hizi fainali ilibidi tucheze sisi, hawa hawawezi Barca, waliokuwa wanamtetea Carlo ni wachawi wetu.
jiandaeni tu, watakuja kwa vurugu humu ndani, ngoja watoke huko waliko
wape ukweli wao wazee wa kujifarijiNyinyi Barca muliwaweza lini? Mbona mara kibao mnakula kichapo tena na Christina wenu akiwepo. Mara chache chache munashinda, jambo ambalo ni la kawaida kwenye mpira. Ila kwa ukweli kabisa Madrid kwa miaka hii ya sasa hamuiwezi Barca zaidi ya kukamia tu. Enzi zile za Robert Carlos na wenzake, Madrid ilikuwa juu sana ya Barcelona!
Nyinyi Barca muliwaweza lini? Mbona mara kibao mnakula kichapo tena na Christina wenu akiwepo. Mara chache chache munashinda, jambo ambalo ni la kawaida kwenye mpira. Ila kwa ukweli kabisa Madrid kwa miaka hii ya sasa hamuiwezi Barca zaidi ya kukamia tu. Enzi zile za Robert Carlos na wenzake, Madrid ilikuwa juu sana ya Barcelona!
FC BARCELOOOOOOOONA NDIO MPANGO MZIMA visca el barca
punguza jazba mkuu tushakupigia mbabe wako sasa wakat mwingine uwe unawai kusema mtani ili yasijekukukuta ya juveMi siongei na watoto wa kike.
mkuu punguza jazba ss ndio wanaume zenuMy "Give a https://jamii.app/JFUserGuide" is broken", but my "Go https://jamii.app/JFUserGuide yourself " is fully functional.
Vip tetes za de gea?
Vip tetes za de gea?
Huyu Morata Carlo ndio alisababisha akaondoka, dah! Kumpa dakika 10 za mwisho kila baada ya game 3 ni upuuzi