Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hujaona sifa zake binafsi, wanasema havuti wala hanywi na ni mtu wa kwenda church kila jumapili
, hiyo jana kawasili Madrid kasindikizwa na familia nzima, baba, mama na kaka zake. Anaoneka mtu wa familia zaidi, sema huwezi jua, watu wanabadilika baada ya account kunenepa.

Kama ni hivyo, dimba la kati limepata mchezaji.
 
Kama ni hivyo, dimba la kati limepata mchezaji.

Game ya juzi Khedira alikuwa anazunguka tu pale kati, sasa hivi dogo atasimama na Kroos, na Modric akiwa fit yeye na Illara wote wanapigwa bei. Hapa sasa tunataka mpiga mabao wa kubadilishana na Benzema tu pale mbele, na yule Chicharito arudi kwa Man U.
 
Game ya juzi Khedira alikuwa anazunguka tu pale kati, sasa hivi dogo atasimama na Kroos, na Modric akiwa fit yeye na Illara wote wanapigwa bei. Hapa sasa tunataka mpiga mabao wa kubadilishana na Benzema tu pale mbele, na yule Chicharito arudi kwa Man U.

Kwahyo huyu lucas anakuja kumtoa james katika 1st 11?
 
Kwahyo huyu lucas anakuja kumtoa james katika 1st 11?
.

James itategemea na kati ya Ancelotti na Kroos, kwasababu Kroos alikuwa anataka kucheza na Khedira. Ni mapema mno kusema nani atakuwa first eleven lakini kaa ukijua pale kuchukua namba kazi ipo. Ndio maana nakwambia Illara na Khedira wanasubiri msimu uishe tu, sasa hivi wapo wanasikilizia offer tu.
 
Lucas Silva signs his contract withRealMadrid (26-01-2015)

Updated 13 minutes ago · Pictures taken at Estadio Santiago Bernabéu

10310527_878255975560621_7652534003037226394_n.jpg


10940479_878255858893966_8421904020747338565_n.jpg


10609722_878255875560631_1613952736870517786_n.jpg


10924771_941946462496781_7182211269292625738_n.jpg
 
Cristiano's suspension decision to be taken on Wednesday. Ban could be from 1-4 games.

- Córdoba will also not raising the issue over what the referee reported, as they are trying to land Medrán on loan.

- The ban imposed will depend entirely on the interpretation of the referee's report, decided by 3 independent judges in the Committee.

- Real Madrid can present their view of the Cristiano suspension case & appeal up to tomorrow at 2pm, but they won't do so.

- If Real Madrid appeal it will give the ref an option to include an annex to his report, which could include the attempted punch & raised hands.

- Madrid will have 10 days to appeal the ban to the Appeals Committee & if that fails could take it to the AST (Administrative Sports Tribunal)

- AS: Appealing to the AST for whatever ban the Committee decides could suspend Cristiano ban from the Derby (if that's what's decided).

10945766_941866392504788_8219539010227436584_n.jpg
 
.

James itategemea na kati ya Ancelotti na Kroos, kwasababu Kroos alikuwa anataka kucheza na Khedira. Ni mapema mno kusema nani atakuwa first eleven lakini kaa ukijua pale kuchukua namba kazi ipo. Ndio maana nakwambia Illara na Khedira wanasubiri msimu uishe tu, sasa hivi wapo wanasikilizia offer tu.

Nilisoma makala flani katka gazeti la Marca, wanadai Lucas Silva anakuja kua kama understudy wa Kross. Kipindi hicho understudy wa Modric, Isco ameshaiva na yupo tayari kumchalenge for 1st 11. Kuhusu Illara na Khedira, ni offer tu ndo zinasubiriwa..
Nadhani pia tunahitaji watu wa nguvu wa kuichallenge safu yetu ya ushambuliaji na si hawa kina Chicharito.
 
Lucas Silva: "I will train with my new team mates today. It's a dream for me to play with my idol Cristiano Ronaldo."
 
Nilisoma makala flani katka gazeti la Marca, wanadai Lucas Silva anakuja kua kama understudy wa Kross. Kipindi hicho understudy wa Modric, Isco ameshaiva na yupo tayari kumchalenge for 1st 11. Kuhusu Illara na Khedira, ni offer tu ndo zinasubiriwa..
Nadhani pia tunahitaji watu wa nguvu wa kuichallenge safu yetu ya ushambuliaji na si hawa kina Chicharito.

Sawa sawa sasa nimeelewa, kuhusu Chicharito ni panic tu ya kupoteza game mbili za mwanzo ndio maana wakamsainisha haraka haraka, lakini hafai kabisa pale hata kwenye Copa del Rey. Ndio maana kuna tetesi Reus anakuja Bernabeu. Walikuwa wanaongea kuhusu Hazard, lakini ni lazima kubomoa benki. Mchezaji mwengine anayedhaniwa anaweza kuja pale labda ni Memphis Depay wa Netherlands.
 
Lucas Silva: "I will train with my new team mates today. It's a dream for me to play with my idol Cristiano Ronaldo."

Kauli yake inaonesha ni kwa jinsi gani alivyo "humble" kwa kaka zake.. Hopeful idol wake CR7 atampa ushirikiano wa kutosha.
 
Hakuna wa kumweka james nje. James ni complete player, ana uwezo wa kupokonya mipira ( Sio kukaba), anauwezo wa kudrive timu, anaassist, anacheza long balls, anaposses mpira. So far hakuna wa kumweka benchi kwa sasa. Though udhaifu niliouona kwa james ni kuwa anapotea sana katika tough na physic games. Game zote na atletico alipotea kabisa uwanjani.

Lucas silva kwa nilivyoona clips zake ni mtu wa kunyanyua sana mipira. Ana consistency kubwa sana katika mipira ya juu na kuhamisha mipira toka upande mmoja kwenda mwingine kama ilivyokuwa kwa Alonso. Hivyo anachezesha timu akiwa chini, ana tackling skills nzuri so atasaidia.

Nionavyo kikosi cha kwanza kitaendelea kubaki vilevile modric akirudi


Iker, carvajal, ramos, pepe, marcelo, modric, kroos, james, bale, benzema, cristiano.

Isco na lucas silva, jesse wataendelea kutokea benchi.
 
Kauli yake inaonesha ni kwa jinsi gani alivyo "humble" kwa kaka zake.. Hopeful idol wake CR7 atampa ushirikiano wa kutosha.

Dogo anasema kweli kwamba alikuwa na ndoto za kuja kucheza Bernabèu, we kafika jana leo anataka kuanza maezoezi. Kwenye negotiation Cruzeiro walikuwa wanakomaa, dogo ikabidi kwenye hela zake apumguze euro millioni moja na nusu, kuwapa ili apate kusaini mkataba.
 
xyz123 umenena vyema ila nadhani ni vyema ukafanyika usajili wa players watakaoweza kuwapush kina bale na benzema ili wapambane zaidi. Kama ambavyo sasa modric atakavyobidi kuperform mara 2 zaidi ili kulinda nafasi yake maana isco wa sasa si yule wa kipindi msimu unaanza.
 
Last edited by a moderator:
xyz123 umenena vyema ila nadhani ni vyema ukafanyika usajili wa players watakaoweza kuwapush kina bale na benzema ili wapambane zaidi. Kama ambavyo sasa modric atakavyobidi kuperform mara 2 zaidi ili kulinda nafasi yake maana isco wa sasa si yule wa kipindi msimu unaanza.

Isco kumuweka modric nje bado. Modric ni mtu mzima na anamaamuzi ya kiutu uzima. Ila Isco sometimes anazinguaga, so to that factor modric ataendelea kuwa favourite player mbele ya isco provided wote wapo fit.
 
Last edited by a moderator:
Hakuna wa kumweka james nje. James ni complete player, ana uwezo wa kupokonya mipira ( Sio kukaba), anauwezo wa kudrive timu, anaassist, anacheza long balls, anaposses mpira. So far hakuna wa kumweka benchi kwa sasa. Though udhaifu niliouona kwa james ni kuwa anapotea sana katika tough na physic games. Game zote na atletico alipotea kabisa uwanjani.

Lucas silva kwa nilivyoona clips zake ni mtu wa kunyanyua sana mipira. Ana consistency kubwa sana katika mipira ya juu na kuhamisha mipira toka upande mmoja kwenda mwingine kama ilivyokuwa kwa Alonso. Hivyo anachezesha timu akiwa chini, ana tackling skills nzuri so atasaidia.

Nionavyo kikosi cha kwanza kitaendelea kubaki vilevile modric akirudi


Iker, carvajal, ramos, pepe, marcelo, modric, kroos, james, bale, benzema, cristiano.

Isco na lucas silva, jesse wataendelea kutokea benchi.

Isco, Silva, Jesse na wengine wengi wanaokuja sasa wanasema ndio future Real Madrid, hata hivyo ili kuendelea kubaki inabidi pachimbike, kwasababu hakuna mtu kupoteza namba kwenye ngwe hii ya pili.
 
Dogo anasema kweli kwamba alikuwa na ndoto za kuja kucheza Bernabèu, we kafika jana leo anataka kuanza maezoezi. Kwenye negotiation Cruzeiro walikuwa wanakomaa, dogo ikabidi kwenye hela zake apumguze euro millioni moja na nusu, kuwapa ili apate kusaini mkataba.

Dogo anaonekana ana njaa ya mafanio.. All the best Lucas maana ndo umefika penyewe "stoo ya makombe".
 
Back
Top Bottom