Hakuna wa kumweka james nje. James ni complete player, ana uwezo wa kupokonya mipira ( Sio kukaba), anauwezo wa kudrive timu, anaassist, anacheza long balls, anaposses mpira. So far hakuna wa kumweka benchi kwa sasa. Though udhaifu niliouona kwa james ni kuwa anapotea sana katika tough na physic games. Game zote na atletico alipotea kabisa uwanjani.
Lucas silva kwa nilivyoona clips zake ni mtu wa kunyanyua sana mipira. Ana consistency kubwa sana katika mipira ya juu na kuhamisha mipira toka upande mmoja kwenda mwingine kama ilivyokuwa kwa Alonso. Hivyo anachezesha timu akiwa chini, ana tackling skills nzuri so atasaidia.
Nionavyo kikosi cha kwanza kitaendelea kubaki vilevile modric akirudi
Iker, carvajal, ramos, pepe, marcelo, modric, kroos, james, bale, benzema, cristiano.
Isco na lucas silva, jesse wataendelea kutokea benchi.