Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madrid kwisha kazi yako.
Ancelotti bye bye bye mwisho wa msimu ndo kwaheri yako
Na walikosea muuza huyu Di Maria na kuleta wajinga jinga hao
Me kila siku nawaza ipo siku aibu ya kipigo kitakatifu itatuhusu...kama siyo ligi ni UCL
Barcelona square off against Rayo Vallecano in
tomorrow's early Liga kickoff. Should this scoreline
endure, then a win for the Catalans will put them top of
the table outright!
They dominated the game because majority of the time they were faster than RMA players.
We had a chance to concentrate on LA LIGA after losing to Atletico in Copa Del Rey. Lakini wachezaji kila siku wanaonyesha Ferrari na Bugatti mpya tu kwenye instagram, uwanjani hamna kitu. Hakuna haja ya kuwa na wachezaji ghali wakati tunafungwa na mtu wa nafasi ya tisa kwenye league table.
Cha kushangaza bilbao kacheza jumatano coa del ray na espanyol yaani kapumzika siku mbili tu , lakini kamfunga madrid wakati madrid kapumzika wiki nzima
Madrid kuanzia Kocha, Raisi na wachezaji
Hakuna motivation kabisa yaani toka wamefungwa ma Atletico mara ya kwanza hadi leo wanapigwa tu.
Hawakuwa na sababu ya kumnunua James kwa hela nyingi na kumuondoa Maria.
Hata kumuacha Iker aendelee daka ni makosa.
Waliweka fitna Mo akafukuzwa sasa sijui watamsingizia nini
Madrid kuanzia Kocha, Raisi na wachezaji
Hakuna motivation kabisa yaani toka wamefungwa ma Atletico mara ya kwanza hadi leo wanapigwa tu.
Hawakuwa na sababu ya kumnunua James kwa hela nyingi na kumuondoa Maria.
Hata kumuacha Iker aendelee daka ni makosa.
Waliweka fitna Mo akafukuzwa sasa sijui watamsingizia nini
Madrid kuanzia Kocha, Raisi na wachezaji
Hakuna motivation kabisa yaani toka wamefungwa ma Atletico mara ya kwanza hadi leo wanapigwa tu.
Hawakuwa na sababu ya kumnunua James kwa hela nyingi na kumuondoa Maria.
Hata kumuacha Iker aendelee daka ni makosa.
Waliweka fitna Mo akafukuzwa sasa sijui watamsingizia nini
Wajinga sana, Diego Lopez alionesha uwezo wa hali ya juu sana.
Lakini Madrid walivyomosa shukran wakamuondoa na kumuacha Iker.
We tall unaiona timu vizuri sana, tunakwenda Camp Nou na mchezo kama ule wachazaji alimradi tu wapo uwanjani. Na jamaa sasa hivi wanataka kulipa kisasi, basi aibu yetu.