Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
- Thread starter
- #4,721
Perez has been in contact with De Gea over the past few days [@PipiEstrada1].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Any of the 2 but Carlo Ancelotti. Tho i prefer Zizou[h=2]Juergen Klopp's announcement that he'll be leaving Borussia Dortmund at the end of this season is not sitting well with Real Madrid's Zinedine Zidane. [Eurosport][/h]
![]()
Any of the 2 but Carlo Ancelotti. Tho i prefer Zizou
Me too, Zizou is my fav, lakini Carlo alikuwa anaongea redioni sounds like he want to stay.
Ukimuacha Diego Armando Maradona 'D10S' hakuna mchezaji nilikua namuelewa kama Zizou, I hope he'll make it in his coaching career
Carlo ain't the one to decide kama anabaki ama la, FloPe, board na mashabiki ndio wanaamuaMe too, Zizou is my fav, lakini Carlo alikuwa anaongea redioni sounds like he want to stay.
Kuna kitu kinanipa wasiwasi, mara nyingi wachezaji wa nafasi za ulinzi ulinzi ndio huwa wanakuwa coaches wazuri, kwa sababu muda mwingi wa careers zao wanakuwa wanausoma mchezo zaidi ya wale wa ushambuliaji. Japo Zizou alikuwa pia ana-dictate mchezo akiamua, ngoja tuone kama ataweza kama coach. Fingers crossedUkimuacha Diego Armando Maradona 'D10S' hakuna mchezaji nilikua namuelewa kama Zizou, I hope he'll make it in his coaching career
Hivi ameshapata certificate ya u-Coach waliyomzingua nayo kipindi flani hapo nyuma?Zizou sio uwanjani tu, hata nje ya uwanja anauona mpira vizuri sana, somehow Mourinho success in Bernabeu ilichangiwa na huyu jamaa kwasababu alikuwa anasikiliza ushauri wake. Akipewa timu yenye pesa kama Real lazima atatengeneza kikosi cha kutisha kwasababu sera yake ni ya kuwapa nafasi wachezaji vijana kama kina Varane.
Hivi ameshapata certificate ya u-Coach waliyomzingua nayo kipindi flani hapo nyuma?
Kuna kitu kinanipa wasiwasi, mara nyingi wachezaji wa nafasi za ulinzi ulinzi ndio huwa wanakuwa coaches wazuri, kwa sababu muda mwingi wa careers zao wanakuwa wanausoma mchezo zaidi ya wale wa ushambuliaji. Japo Zizou alikuwa pia ana-dictate mchezo akiamua, ngoja tuone kama ataweza kama coach. Fingers crossed
Nadhani this May FFF watam-award badge ya European standards, atakuwa amegraduate.
Yaani hata kama ni viungo, ila wanakuwa defensive minded, wanauona mpira mbele yao mara nyingi. Watu kama Pirlo, Alonso, nina uhakika watakuwa coaches wazuri baadae wakiamua.Real? May be lakini sio wote, kwa mfano Capello, Guardiola, Conte, Deschamps, Anchelotti walikua midfielders, SAF alikua forward
Hivi ameshapata certificate ya u-Coach waliyomzingua nayo kipindi flani hapo nyuma?
Na ule uchunguzi walitufanyia FIFA baada ya barca ku-snitch umeishia wapi? Ukute hii kasi ya kina Perez kusajili mapema ni kujiandaa na banWaliomletea kiwingu si walikuwa Spanish football federation, lakini Real walifanya appeal mahakamani, ikaamuliwa Zidane aendelee na kazi, kama sikosei hivi soon atakuwa certified coach.
Na ule uchunguzi walitufanyia FIFA baada ya barca ku-snitch umeishia wapi? Ukute hii kasi ya kina Perez kusajili mapema ni kujiandaa na ban