Nimeshachangia katika uzi wa mechi ya leo kabla haijachezwa...na ndo kinaendelea kutokea,binafsi nlikuwa naihofia atletico kuliko timu yoyote ile zilizobaki,kucheza na bayern ni sawa nakumuonyesha wekundu malaya anayejiuza,huwa hakatai...guardiola toka miaka yote huwa nasema siyo kocha bora,hutembelea nyota za wenzake,kocha gan huna plan B...game yetu ya kesho itakuwa ni miujiza pekee ambayo itatutoa,yaan siona kitisho chochote,huyo pogba watu wanayempigia chapuo mbona wakawaida sana,labda uniambie pirlo ila siyo pogba...kesho mtaniambia hapa naziona kabisa goli tatu pale jamaa tunawatandika,na tukiwapa kimoja cha fasta watafungua ukuta wao mrefu hapo ndo balaa lile walilokula bayern msimu jana linawapata...kwenye fainali kama tunanawa vile,tena uwanja wa berlin kule hakuna mbinu chafu zakuuziana ticket chache,tunaweka historia saaafi kabisaa,afu tunaunda sasa kikosi cha vijana wadogo kwa ajili ya miaka ya mbele,...sion wakutuzuia kuchukua ndoo ni miujiza pekee itatokea labda...