Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Iker nadhani anaondoka finally, matusi yamezidi. It's best for both parties.Mi bado sijaelewa, inawezekana Casillas ndio anastafu au vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iker nadhani anaondoka finally, matusi yamezidi. It's best for both parties.Mi bado sijaelewa, inawezekana Casillas ndio anastafu au vipi?
Iker nadhani anaondoka finally, matusi yamezidi. It's best for both parties.
Mi bado sijaelewa, inawezekana Casillas ndio anastafu au vipi?
Mwenyewe itaniuma sana, jamaa kwenye hiyo squad ndio pekee niloyemkuta wakati naanza kuangalia soka. But i'd rather see him leave than stand him being insulted by ungrateful mofos.Emotionally ni very sad kumuona Iker anaondoka, nafikiri siku hiyo Bernabéu kuna watu watamwaga machozi.
Haha watu wanadai De Gea ametoka mapema kuwahi flight to Madrid, trolls.
Jamaa lazima wapagawe, si umeona goli alilofungwa Valdes, yaani kaenda chini kabla ya mpira...
![]()