Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Man, nimejikuta ninachoka sana, mtu tuliyemwamini kwa Vazquez amekosa penalty, hii game ilikuwa ya moto sanaMkuu, mimi nimechoka kuangalia hii game kuliko players.
😂Wasenge wanakaba kama vibaka wa keko mpira gani wakiboya hivi timu nzima inakaba
Rudiga mwehu mwehu sanaRudiger nusu anipasue kichwa.,
Hata vin hajawahi kosa penalty akiwa na madrid ila leo kakosa
Vin hajawahi labda mbappeVini na Mbappe wamewahi kukosa.
Wamecheza vizuri sana leo ATLETICOJamaa wanakaba vibaya
Noma sana nimeifananisha na Azam fc wakikutanaga na Yanga jinsi wanavyokaza mishipa[emoji23]
Waweza fikiri ni BARCA ya 2012 - 2014
Sahihi, huwa wanatukazia - ugomvi 😃Noma sana nimeifananisha na Azam fc wakikutanaga na Yanga jinsi wanavyokaza mishipa
Dogo aligusa mpira mara mbili ..Sasa sijui bahati mbaya au alikua anafanya janjajanja.Penalty ya Alvarez alifunga, kwa nini wakaandika amekosa?
Double TouchPenalty ya Alvarez alifunga, kwa nini wakaandika amekosa?
Mmeshinda kwa penalty ila mtalala na viatu leo
Vin hajawahi labda mbappe