Real Madrid v Barcelona-semifinal UEFA CHAMPIONSHIP

Real Madrid v Barcelona-semifinal UEFA CHAMPIONSHIP

Lmfao!! Wewe nawe unakimbilia kuconclude...! Ebu rudi nyuma usime posts zangu uone argument yangu ni ipi...

Hahaah fair play ndio ina encourage wachezaji kuact kama wamepigwa vipesi, kumzonga refa ili atoe kadi etc etc?

Ukiangalia kwa mtazamo wako utaona kama walikuwa wanaact kupigwa, ila kiukweli Madrid hawakuwa wanacheza fair game na ndio maana mara kadhaa wachezaji wa Barca walikuwa wanamwendea refa. Faulo nyingi zilifanywa na wachezaji wa Madrid ila hizo hutaki kuzizungumzia. Kumwendea refa sio kuwa ndio inamaanisha hauchezi fair game bali walikuwa wanamkumbusha kuwa makini zaidi na vitendo vya kihuni walivyokuwa wanafanyiwa.
 
Jose Mourinho amejitoa mhanga kuharibu credibility ya barca kwa kusema ukweli mtupu kuhusiana na barca. Sasa barca itapoteza mashabiki, tv money na some sponsorship deals kwa sababu watu wengi wataamini kama barca inabebwa, ingawa wengine tulishaona tangu zamani. Hata kwenye mechi za la liga, barca ikicheza na lower teams huwa inapata decisions nyingi wrongly at their favour. Mou will be remembered for this in many years to come. I believe FIFA wataweka sheria kali zaidi za kuzuia simulation kwa wachezaji, na kwa mchezaji atakayelalamika kwa mwamuzi kama yeye si nahodha wa timu. Kwenye mechi ya real v. barca wachezaji 8 wa barca including valdes walikuwa wanamzonga refa katika kutoa maamuzi which is very intimidating since the referee has got some emotions also.
 
barcelona team is a disgrace to football, totally disgrace.
 
Barca ni kweli wanabebwa?

Kwa hiyo mechi ya juzi, naweza kufikiri kwamba wanabebwa kwa sababu ile haikuwa fool play inayostahili kumuonyesha mchezaji kadi nyekundu. Na kosa lingine la referee ni kutoa hiyo kadi baada ya kuzongwa na wachezaji wa Barca. Nilitarajia angetoa angalau kadi ya njano kwa wachezaji wa Barca waliomzonga lakini wala hakutoa!!!! Sasa hapa unaweza kumuelewaje referee?

Tiba
 
Jamani tuongee kimsing na kimantiki......kuna msemo wa kiswahili kwamba eti mbaazi ukikosa maua husingizia jua....technically RM walizidiwa sana wajamen, mpira una S TATU YAANI SPIDI, SKILLS NA STAMINA.....NA B TATU BALL CONTROL, BALL POSSESION NA BALL BALANCIN ..Yaani haya yote hamkuyaona???? au milayaona baada ya RM kubakia 10? unajua falsafa ya rafu katika soka?......Indeed ukiumia si maumivu yanakimbilia kichwani? au tumeshahu biolojia? Wenger hawezi fukuzwa Arsenal, ni kocha pekee ambaye jina lake linafanana na Timu hiyo...........tehetehetehe............
 
Mourinho didnt win his Champions League trophies just with hard word, pride, effort and sweat - he also received some favourable refereeing decisions (and fortune) along the way. In the 2003-04 edition, his Porto side were on the verge of elimination during their second round tie with Manchester United. Ahead 1-0 in the second-leg at Old Trafford, the dominant English champions had a Paul Scholes goal scandalously disallowed for a non-existent offside decision. This meant that a last-minute strike from Costinha, following a shocking goalkeeper error by Tim Howard, put Porto through 3-2 on aggregate. Mourinho didnt complain, instead he raced down the touchline for his famous celebration.

In the 1-0 semi-final victory over Deportivo, Jose also benefited from outrageous refereeing. In the first-leg in Portugal, which finished 0-0, one of Depors star players Jorge Andrade was sent off for playfully kicking at former team-mate Deco. The pair unsuccessfully remonstrated with referee Markus Merk that they were just fooling around, Andrade repeating the words: Hes my friend, hes my friend. The red card had a huge bearing on the tie. Without their rock in defence, Deportivo lost the return 1-0 at home, and Mourinhos Porto proceeded to the final where they beat Monaco 3-0.

Fast forward six years to Mourinhos second Champions League triumph, and once again Inters success was not as black and white as he'd like us to think. Granted, the Nerazzurri were deserving champions, but they had their rub of the green on the path to glory too. In the second round first leg with Chelsea at San Siro, the Londoners would have probably returned to Stamford Bridge with a 2-2 draw had referee Mejuto Gonzalez awarded Chelsea a penalty for a clear last-man trip on Salomon Kalou by Walter Samuel, which could have also potentially resulted in a red card for the Argentine.

In the classic semi-final win against Guardiolas Barcelona, Mourinho has every right to complain about Thiago Mottas unjust red card in the second-leg that forced Inter into a heroic rearguard action in Catalonia. But he overlooks Diego Militos offside third goal in Milan, which was ultimately the difference between the two sides on paper.
As for Guardiolas supposedly embarrassing Champions League successes, the 2009 semi-final second-leg at Stamford Bridge between Chelsea and Barca is in danger of turning into a mythical old wives' tale with Barcelona as the evil baddie. The truth is that of the five penalty claims that were turned down by referee Tom Henning Ovrebo, only one was a penalty  the clear handball by Gerard Pique. Dani Alves obstruction on Florent Malouda may have been inside the area, but obstruction is only a penalty offence when really serious, and this was not. The same can be said for Eric Abidals slight pull of Didier Drogbas shirt before half-time, which preceded a one-second delay before the Ivorian catapulted himself onto the floor like hed caught the plague.

In the episode involving Drogba and Yaya Toure on 56 minutes, both were wrestling each other, and even if Kolos younger brother did draw back the Chelsea hitman, it was well outside the area. Finally, regarding Michael Ballacks last-gasp appeal against Samuel Etoo, the Cameroonian may have had his arm higher than usual, but it was clearly ball-to-hand (the very top of his arm and back), while he also had his back turned. FIFAs Laws of the Game at the time were crystal clear on this.

It is amusing that Mourinho conveniently overlooked the fact that Abidal was wrongly red-carded on 65 minutes for a professional foul when Anelka had tripped over his own feet. This forced Barcelona to chase the last 25 minutes of the game with just 10 men. As a result the space opened up for Chelsea on the counter-attack, and it was only after this dismissal that the stonewall Pique penalty incident occurred. It is also peculiar how Mourinho discarded the performance of referee Wolfgang Stark (Yes, the same WOLFGANG STARK from Real Madid vs. Barcelona) in the first-leg at Camp Nou. During that game, Stark waved away an excellent Thierry Henry penalty shout, failed to send off Ballack, and also harshly booked Carles Puyol, forcing Barcelona to start a left-back at centre-back, and a centre midfielder at left-back in the second-leg.

The semi-final comparison to be drawn between Chelsea 2009 and Real Madrid 2011 is that both teams played anti-football against Barcelona. While Mourinho got his tactics spot on in the first two Clasicos of April, and Real Madrid picked their moments to attack Barca, in Clasico III the Special One was far too negative and brought the problems on himself. Pepes red card was undoubtedly harsh, but once again Mourinho ignores the fact that his naturalised countryman should have been sent off during the Copa del Rey final a week earlier. The big decisions in Valencia went the way of the Blancos.

Mourinho must realise that, despite his genius, he cannot win every single trophy every year. That is an impossibility and he needs to accept his rare defeats with grace. To attempt to downgrade the achievements of a Barcelona side who are probably the most exciting club side we have ever seen - and on their way to challenging the likes of Ajax 71-73, Bayern 74-76 and Milan 89-94 for the title of greatest ever club team - is truly dishonourable. To be unable to support his wild theories with facts is hypocritical and slanderous.
Dah! Mkuu, hili 'pande' umelichimba wapi?! Hivi kwenye mobile kale kadude mnakoita ka senksi au like kanapatikana kweli??? Mimi kwa makocha huwa nampenda Morinho kwa sababu ya vituko vyake, na hii ni bila kujali anafundisha timu gani. Lakini anapotapika propaganda zake kama ile juzi hata kwa bunduki sikubaliani naye. Natamani waliomuunga mkono juzi waje hapa bìla unafiki wajibu hii kitu.
 
barcelona team is a disgrace to football, totally disgrace.

True kaka maana hata wakati Real wanapigwa 5 ndani ya Nou camp walibebwa!! Acheni ushabiki wa kitoto and accept defeat with grace. Just a few months ago when Barca demolished Real 5-0, people claimed that Barca was the best team on the planet and that that game was one of the best ever. What has suddenly caused Barca to be a disgrace? Tatizo lenu huwa mnasubiri El-clasico tu inabidi muangalie mechi nyingi zinazozihusu hizi club mbili then ndio uje hapa useme nani zaidi!! When was the last time Real defeated Barca ukiondoa copa del ray ya juzi? You will have to go back all the way to May 7, 2008. That is how good this current Barca team is.
 
  • Thanks
Reactions: Aza
ni hivi,mtasemaaa weee ila barca ipo palepale,,,nendeni mkaisaidie arsenal,liverpool kwa kumwajiri uyo morinyo uko if he is such a "honest coach"...hataki kukubali kwamba si kocha bora kiivo na keshaishiwa siku nyingi tu ni bla bla zake kutaka media attention
mpira ni mguu dk 90 +nyongeza basi

tunasubiri
 
Kazi ni kazi leo ndo leo barcelonaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Tutabebwa sana sababu ya msingi =classic football . Mind refresher , where football lives ,kila mtu na maono yake jamani this is barca time msiwe na wivu hivyo we rule the world .zamu yetu ikiisha atakuja mwingine hiyo ndio futboli waunganaaa najua moyoni mnakubali ukweli .
 
lazima tuukubali ukweli kuwa Barca ni timu nzuri na huyu little devil wao (messi) ni balaa kabisa ,lakini pamoja na hayo yote Mourinho anadeserve kuitwa special one,,ni yeye pekee aliye fanikiwa kuipokonya Barca ubingwa tena mara 2 ,moja akiwa na inter ktk Champions ligi na majuzi hapa ktk copa de rey ,mechi ya leo imekwisha najua Barca wamepita lakini ukweli ni kwamba bila kadi nyekundu mechi ile ingeweza kuisha bila bila
 
lazima tuukubali ukweli kuwa Barca ni timu nzuri na huyu little devil wao (messi) ni balaa kabisa ,lakini pamoja na hayo yote Mourinho anadeserve kuitwa special one,,ni yeye pekee aliye fanikiwa kuipokonya Barca ubingwa tena mara 2 ,moja akiwa na inter ktk Champions ligi na majuzi hapa ktk copa de rey ,mechi ya leo imekwisha najua Barca wamepita lakini ukweli ni kwamba bila kadi nyekundu mechi ile ingeweza kuisha bila bila

Barca haikuwa bingwa wa Copa, ni Sevilla ndo walikuwa mabingwa.

Kufungwa na RM si tatizo, tumeshafungwa sana, tatizo ni kufungwa na timu anayofundisha Jose, machungu yake ni mabaya ukitaka kujua vizuri waulize Arsene(Wenger), SAF, Benitez etc. Tunaogopa lugha chafu inayotoka mdomoni mwake.
 
leo Man U... watakuwa madrid fans!.. mziki wa barca si wa kitoto...:A S-baby:
 
True kaka maana hata wakati Real wanapigwa 5 ndani ya Nou camp walibebwa!! Acheni ushabiki wa kitoto and accept defeat with grace. Just a few months ago when Barca demolished Real 5-0, people claimed that Barca was the best team on the planet and that that game was one of the best ever. What has suddenly caused Barca to be a disgrace? Tatizo lenu huwa mnasubiri El-clasico tu inabidi muangalie mechi nyingi zinazozihusu hizi club mbili then ndio uje hapa useme nani zaidi!! When was the last time Real defeated Barca ukiondoa copa del ray ya juzi? You will have to go back all the way to May 7, 2008. That is how good this current Barca team is.
hapo kwenye red naona umetaja lini ulianza kufuatilia el classico, hii link El Clásico - Wikipedia, the free encyclopedia itakusaidia kujibu hapo kwenye blue.
 
Leo tunataka kuweka historia ktk uefa kwa Messi kuvunja rekodi ya Rud vanestroy ya magoli 12.
Kuna anayebisha?
 
Unaweza kubashiri nani ataibuka kidedea?

jibu rahisi kama sio draw basi real wanaweza kupigwa si chini ya goli tatu..... hapo nimevaa mikoba ya sheikh yahya teh teh.



Wale wanapenda kufutilia match cast ya maneno ya wataalam hapa FC Barcelona v Real Madrid | Live | Score | Champions League 2010-2011 - Yahoo Eurosport UK



BARCELONA TEAM: Valdes, Dani Alves, Mascherano, Pique, Puyol, Xavi, Busquets, Iniesta, Villa, Messi, Pedro; Subs: Olazabal, Jeffren, Keita, Afellay, Abidal, Fontas, Thiago


REAL MADRID TEAM: Casillas, Arbeloa, Carvalho, Albiol, Marcelo, Diarra, Alonso, Ronaldo, Kaka, Di Maria, Higuain; Subs: Dudek, Benzema, Granero, Garay, Ozil, Adebayor, Nacho
 
Namhurumia atakayepita hapa kwa sbb kiama chake ni Wembley.
 
Back
Top Bottom