Pre GE2025 Recap: Mrithi wa Rais Samia

Pre GE2025 Recap: Mrithi wa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

MUONAJI

Senior Member
Joined
Jul 9, 2024
Posts
134
Reaction score
146
Leo na mimi kwa ufupi sana nifanye recapitulating ya hii hoja ya Mrithi wa Rais Dkt Samia Suluh Hassan mwaka 2025 au 2030.

Kwanza, Kwa mazingira yalivyo Sasa na kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 bado naiona CCM ikiendelea kushikilia nafasi ya Urais wa JMT,

Pili, Kwa mila, desturi na mazoea ya CCM Rais lazima ahudumu kwa vipindi viwili vya miaka mitano Kila kimoja hivyo ni kweli kwambà Mgombea wa Urais mwaka 2025 atakuwa Dkt Samia Suluhu.

Tatu, Uwezekano wa mgombea toka CHADEMA kumrithi Rais Samia 2025 kwa hakika ni mdogo japo kwenye Siasa lolote laweza kutokea popote na kwa yoyote.


-------------------------------------
FURSA PEKEE YA RAIS MPYA KWA VYAMA VYOTE IKO KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2030.
-------------------------------------

Je, Rais wa mwaka 2030 anatakiwa kuwa na Sifa gani za ziada?

1. Awe ni Mkristo itapendeza zaidi akitoka Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume.

2. Awe na umri wa miaka isiyozidi 50 wala kupungua miaka 45.

3. Awe ni mtu ambaye hajawahi kuhusishwa na rushwa wala Ufisadi katika maisha yake ya kisiasa.

4. Awe na Uraia usiozua mashaka juu ya hatma ya nchi baada ya yeye kuwa amiri jeshi mkuu.

5. Awe na uelewa wa jumla wa kutosha juu ya Tanzania na maswala mbalimbali ya dunia ( awe ni msomi )

6. Awe na Uzalendo kwa Taifa lake lakini awe analipenda Taifa kuliko Chama chake anachotoka.

7. Asiwe mdini Wala mkabila lakini afahamu kuwa Tanzania haina dini ila watu wake.

Note, Kila anayedhani anafaa kuwa Mrithi baada ya Rais Samia Suluhu Hassan apitie hizi Sifa kama hana afanye mambo mengine.

Submited
with thanks.
 
Joined Yesterday hivi unaona ni nani anaefaa kukikalia kile kiti?
 
Leo na mimi kwa ufupi sana nifanye recapitulating ya hii hoja ya Mrithi wa Rais Dkt Samia Suluh Hassan mwaka 2025 au 2030.

Kwanza, Kwa mazingira yalivyo Sasa na kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 bado naiona CCM ikiendelea kushikilia nafasi ya Urais wa JMT,

Pili, Kwa mila, desturi na mazoea ya CCM Rais lazima ahudumu kwa vipindi viwili vya miaka mitano Kila kimoja hivyo ni kweli kwambà Mgombea wa Urais mwaka 2025 atakuwa Dkt Samia Suluhu.

Tatu, Uwezekano wa mgombea toka CHADEMA kumrithi Rais Samia 2025 kwa hakika ni mdogo japo kwenye Siasa lolote laweza kutokea popote na kwa yoyote.


--------------------------------------
FURSA PEKEE YA URAIS KWA VYAMA VYOTE IKO KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2030.
--------------------------------------

Je, Rais wa mwaka 2030 anatakiwa kuwa na Sifa gani za ziada?

1. Awe ni Mkristo nzuri zaidi atoke Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume.

2. Awe na umri wa miaka isiyozidi 50 wala kupungua miaka 45.

3. Awe ni mtu ambaye hajawahi kuhusishwa na rushwa wala Ufisadi katika maisha yake ya kisiasa.

4. Awe na Uraia usiozua mashaka juu ya hatma ya nchi baada ya yeye kuwa amiri jeshi mkuu.

5. Awe na uelewa wa jumla wa kutosha juu ya Tanzania na maswala mbalimbali ya dunia.

6. Awe na Uzalendo kwa Taifa lake lakini awe analipenda Taifa kuliko Chama chake anachotoka.

7. Asiwe mdini Wala mkabila lakini afahamu kuwa Tanzania haina dini ila watu wake.

Note, Kila anayedhani anafaa kuwa Mrithi baada ya Rais Samia Suluhu Hassan apitie hizi Sifa kama hana afanye mambo mengine.

Submited,
Ni upuuzi tupu.
 
Leo na mimi kwa ufupi sana nifanye recapitulating ya hii hoja ya Mrithi wa Rais Dkt Samia Suluh Hassan mwaka 2025 au 2030.

Kwanza, Kwa mazingira yalivyo Sasa na kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 bado naiona CCM ikiendelea kushikilia nafasi ya Urais wa JMT,

Pili, Kwa mila, desturi na mazoea ya CCM Rais lazima ahudumu kwa vipindi viwili vya miaka mitano Kila kimoja hivyo ni kweli kwambà Mgombea wa Urais mwaka 2025 atakuwa Dkt Samia Suluhu.

Tatu, Uwezekano wa mgombea toka CHADEMA kumrithi Rais Samia 2025 kwa hakika ni mdogo japo kwenye Siasa lolote laweza kutokea popote na kwa yoyote.


--------------------------------------
FURSA PEKEE YA URAIS KWA VYAMA VYOTE IKO KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2030.
--------------------------------------

Je, Rais wa mwaka 2030 anatakiwa kuwa na Sifa gani za ziada?

1. Awe ni Mkristo nzuri zaidi atoke Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume.

2. Awe na umri wa miaka isiyozidi 50 wala kupungua miaka 45.

3. Awe ni mtu ambaye hajawahi kuhusishwa na rushwa wala Ufisadi katika maisha yake ya kisiasa.

4. Awe na Uraia usiozua mashaka juu ya hatma ya nchi baada ya yeye kuwa amiri jeshi mkuu.

5. Awe na uelewa wa jumla wa kutosha juu ya Tanzania na maswala mbalimbali ya dunia.

6. Awe na Uzalendo kwa Taifa lake lakini awe analipenda Taifa kuliko Chama chake anachotoka.

7. Asiwe mdini Wala mkabila lakini afahamu kuwa Tanzania haina dini ila watu wake.

Note, Kila anayedhani anafaa kuwa Mrithi baada ya Rais Samia Suluhu Hassan apitie hizi Sifa kama hana afanye mambo mengine.

Submited,
Huyu labda tumtoe nje ya nchi aje kama mwekezaji
 
Leo na mimi kwa ufupi sana nifanye recapitulating ya hii hoja ya Mrithi wa Rais Dkt Samia Suluh Hassan mwaka 2025 au 2030.

Kwanza, Kwa mazingira yalivyo Sasa na kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 bado naiona CCM ikiendelea kushikilia nafasi ya Urais wa JMT,

Pili, Kwa mila, desturi na mazoea ya CCM Rais lazima ahudumu kwa vipindi viwili vya miaka mitano Kila kimoja hivyo ni kweli kwambà Mgombea wa Urais mwaka 2025 atakuwa Dkt Samia Suluhu.

Tatu, Uwezekano wa mgombea toka CHADEMA kumrithi Rais Samia 2025 kwa hakika ni mdogo japo kwenye Siasa lolote laweza kutokea popote na kwa yoyote.


--------------------------------------
FURSA PEKEE YA URAIS KWA VYAMA VYOTE IKO KATIKA UCHAGUZI MKUU WA MWAKA 2030.
--------------------------------------

Je, Rais wa mwaka 2030 anatakiwa kuwa na Sifa gani za ziada?

1. Awe ni Mkristo nzuri zaidi atoke Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume.

2. Awe na umri wa miaka isiyozidi 50 wala kupungua miaka 45.

3. Awe ni mtu ambaye hajawahi kuhusishwa na rushwa wala Ufisadi katika maisha yake ya kisiasa.

4. Awe na Uraia usiozua mashaka juu ya hatma ya nchi baada ya yeye kuwa amiri jeshi mkuu.

5. Awe na uelewa wa jumla wa kutosha juu ya Tanzania na maswala mbalimbali ya dunia.

6. Awe na Uzalendo kwa Taifa lake lakini awe analipenda Taifa kuliko Chama chake anachotoka.

7. Asiwe mdini Wala mkabila lakini afahamu kuwa Tanzania haina dini ila watu wake.

Note, Kila anayedhani anafaa kuwa Mrithi baada ya Rais Samia Suluhu Hassan apitie hizi Sifa kama hana afanye mambo mengine.

Submited,
TISSSSSSSS
 
2025 tuna uchaguzi,

Na ajaye ni JOSEPHAT GWAJIMA.

Ikiwa ni mwonaji na hulioni Hilo, safisha macho Yako ya Rohoni uone vyema.
 
Je, Rais wa mwaka 2030 anatakiwa kuwa na Sifa gani za ziada?

1. Awe ni Mkristo nzuri zaidi atoke Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume.

2. Awe na umri wa miaka isiyozidi 50 wala kupungua miaka 45.

3. Awe ni mtu ambaye hajawahi kuhusishwa na rushwa wala Ufisadi katika maisha yake ya kisiasa.

4. Awe na Uraia usiozua mashaka juu ya hatma ya nchi baada ya yeye kuwa amiri jeshi mkuu.

5. Awe na uelewa wa jumla wa kutosha juu ya Tanzania na maswala mbalimbali ya dunia.

6. Awe na Uzalendo kwa Taifa lake lakini awe analipenda Taifa kuliko Chama chake anachotoka.

7. Asiwe mdini Wala mkabila lakini afahamu kuwa Tanzania haina dini ila watu wake.
  • No. 1: haina mashiko yoyote
  • No. 3: trying to look for such a person (especially in ccm), is like looking for a virgin in a labour ward.
  • No. 6&7: Every animal (hasa bin Adam) is naturally selfish to varying degrees.
 
Back
Top Bottom