Pre GE2025 Recap: Mrithi wa Rais Samia

Pre GE2025 Recap: Mrithi wa Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
🔹Baba Levo .....Kigoma

🔹Mwijaku............Kigoma

🔹 Manara.........Kigoma

🔹Mr. Pimbi........Kigoma
 
Ninyi ni wajinga sana au Kama Mungu akitaka kwa njia ileee ndo itakuwa ! Lakin kwa kawaida Hapana narudia sioni Mbegu ya Urais Kigoma

Wote Ndumila kuwili
1. Wamehama hama Sana vyama
2. Hawasimamii wanachoamini
3. Machawa


Britanicca
 
Kupata kichekesho kingine Kama hiki, ni bonyeze namba ngapi??.

haya nani Sasa zito ?!, ni kheri tuweke sufuria la ukoko.
 
hata 2025 bado simwoni Samia akipitishwa na CCM.Tuiweke hii post yangu
 
Hao watu wabishi sana

Tutapata taabu sana
 
nijuavyo raisi ajaye ni P.Mpango (PhD) anatokea (mkoa) wapi sijui, ninachokijua raisi samia abdicate na kumkabidhi kiti Mpango …
 
Mbona katika maelezo yako umeweka udini mbele?
Awe Mkatoriki!
Utafikiri huyu ni Kafulira anaji promote!
 
Back
Top Bottom