Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
- Thread starter
- #21
Ila ukweli kiba anawakosesha amani team domo na bado #aje[emoji133]
Kingi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila ukweli kiba anawakosesha amani team domo na bado #aje[emoji133]
Tunawaelimisha raia wafahamu uwezo wa kingi wamezidi kumchukulia poabahati nzuri nawaelewa so hawanipagi shida..yaani kwa jinsi wanavyomchukulia kiba nilijua watampuuzia tu na kuzungumzia wasanii wengine lakini imekuwa ni tofauti kila siku ni kiba
Sasa hapo ujue anawaumiza Sana Kichwa wakubali wakatae na kiba alipotoa aje hawana Aman kabisa Mara natafuta kiki Mara ibaki stori hahaaa kiba MTU mwingine huwez kumfananisha na domo kimuzikibahati nzuri nawaelewa so hawanipagi shida..yaani kwa jinsi wanavyomchukulia kiba nilijua watampuuzia tu na kuzungumzia wasanii wengine lakini imekuwa ni tofauti kila siku ni kiba
Me naona tuwaache tu tufanye yetu au we unaonaje, maanake ile AJE imeleta shida mjini hapaSasa hapo ujue anawaumiza Sana Kichwa wakubali wakatae na kiba alipotoa aje hawana Aman kabisa Mara natafuta kiki Mara ibaki stori hahaaa kiba MTU mwingine huwez kumfananisha na domo kimuziki
c'mon man, really???Me naona tuwaache tu tufanye yetu au we unaonaje, maanake ile AJE imeleta shida mjini hapa
Ok nimekuelewa!
Una matusi mengine au umemaliza??
Ok! Umesomeka.. Ila usisahau this JF where we dare to talk freely.. Alafu kumbuka upo jukwaa gani!! Huku hatuongelei wanafunzi wa udom au kumuengea mama tulia!! Naamini umenielewaKama umeelewa ni vema ilo la matusi kwangu jipya.
PRADO???? HahhahahWatu hamuishiwi fitna na unafki,.. Umezunguka weeeeee kumbe point ni PRADO!!!?
Sasa huko si kumuonea tu! Anawezaje hayo mambo.. Hebu waache kumzongaEti na mwingne wanasema na yeye asaidie madawati 600
Upo mkuu?? Huna kijembe kingine, hicho kama kimeanza kuexpireMama tiffah kwenye ubora
Aje hii hii ya ali kiba au kuna aje nyingine[emoji102] [emoji102] [emoji102] km ni hiyo hapana kwakwel.Ila ukweli kiba anawakosesha amani team domo na bado #aje[emoji133]
Ila ukweli kiba anawakosesha amani team domo na bado #aje[emoji133]
We mwenyewe unamkubali ndo mana unamfuatilia kwani wako wasanii wangap kina jux kina Ben pol why king[emoji12] [emoji12] Mti wenye matunda ...#Aje utaipenda tu japo kimya kimya na inawezekana ukawa umeweka ring tone[emoji13] [emoji13] [emoji13]Watu wanasikitika kipindi hichi ana nafasi Na fan base kubwa lakini haitumii ipasavyo!! Hii baadae itamgharimu akija kuzinduka mwenyewe!!
Wenzie wanasonga mbele Kwa maendeleo yeye anakalia King King.....!!!
tunamfuatilia sababu tunamuonea huruma kwa anavyopoteza....!!We mwenyewe unamkubali ndo mana unamfuatilia kwani wako wasanii wangap kina jux kina Ben pol why king[emoji12] [emoji12] Mti wenye matunda ...#Aje utaipenda tu japo kimya kimya na inawezekana ukawa umeweka ring tone[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Yani huu upepo uliopo sasa hivi wa tanzania ku-shine Africa asipoutumia atakuja kujuta sana huko mbele.. This is the time..Watu wanasikitika kipindi hichi ana nafasi Na fan base kubwa lakini haitumii ipasavyo!! Hii baadae itamgharimu akija kuzinduka mwenyewe!!
Wenzie wanasonga mbele Kwa maendeleo yeye anakalia King King.....!!!