Record Label ya Ali Kiba

Record Label ya Ali Kiba

Mtoto wa kiume kuwa ni mipasho hiv ni hatar kwa kizaz kijacho
 
Ambacho nashangaa kila siku kiba hajui kuimbaaa, hana akili ya biasharaaa, video zake mbovuuuu asa si muache kumfatilia wazee mfatilieni momba anaejua kuimba na diamond anzeni kumshindanisha na jux why mkose usingiz na mtu asiyejua kitu hahahahaaaaaa....LEO MUENDE UWANJANI HUKO MKAMHONE MTU ASIYEJUA KUIMBA WALA AKILI YA BIASHARA YUPO NA MBWANA SAMATA WANAWATAFUTIA MSAADA WATOTO WA NDUGU ZENU WASIOJIWEZA WAENDE SHULE..WAKATI HUO WEWE UNAHANGAIKA KUMPONDA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII PUMBAV
Naona kama watu wamezidi kumuandama msanii wetu pendwa na self proclaimed king of bongo fleva Mr. Aki kiba.. Watu wanamzonga zonga kisa tu Dee lebo yake inapaa kwa mwendo kasi wakati Ali eti (narudia 'eti') hana lebo.. Inaonekana watu wameanza kufuatilia mambo juzi juzi hawajui tulikotoka.. Kwa wasiofahamu Ali ndio moja ya wasanii wa mwanzo kabisa kuwa na lebo yake, iliitwa AFTER THE MIDDLE FINGER INC.. nakumbuka alishirikiana na mtanzania fulani hivi anaishi marekani wakaianzisha pamoja.. Hii ilikuwa ni 2010.!

Bado sijafahamu ni nini hasa kiliikumba hii lebo lakini nahisi ilishakufa hata kaburi lake halijulikani lilipo.. Ninachotaka kusema ni kwamba muacheni Ali apumzike sio kumzonga aanzishe lebo kitu ambacho kilishamshinda na akaamua kuachana nacho.. Yeye ni msanii anajua kuimba suala la kuwa na lebo inahitaji uwe na management skills, sasa kama mwenzenu hana management skills mnataka afanyaje??? Dee ni dhahili amejaliwa kipaji cha kuimba na pia amejaliwa akili ya biashara.. Ali hajajaliwa akili ya biashara kwahiyo hebu acheni kumuandama eti aanzishe lebo! Alishashindwa huko, AFTER THE MIDDLE FINGER INC. ilishazikwa..

Acheni kumuandama eti anajivunia kusainiwa kwenye lebo ya Sony wakati mwenzie ana lebo ambayo iko mbioni ku-take over Africa.. Ali amefuata ushauri alioutoa Dee juzi kwenye kipindi cha XXL, Dee alisema, nanukuu "... Mfano Sallam hapa labda ana mpango wa kununua Prado, lakini Harominse hapa yeye amenunua Mark X na kwake hiyo ni hatua kubwa, so kila mtu ana level yake ya mafanikio..."
Hizo level za kuwa na lebo za mwendo kasi Ali alishazishindwa na ndio maana hataki mumpotoshe tena aanzishe lebo... Hebu muacheni na "Mark X" yake (kusainiwa Sony) na mwacheni Dee na "Prado" yake (WCB ya mwendi kasi)

Yote maisha tu.. Ali kaza mwanangu!!

f27187228f260cca230a3205c5a83af9.jpg
 
Back
Top Bottom