Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 1,277
- 2,888
Hapo kwa Simba ipo wazi kwenye YouTube wana 69,055,922 views wakati Yanga ina 100,000,000 views
Ni kweli ndio maana tuliambiwa mafanikio ni kibegi na kuanzisha Whatsapp Channel na tulivyo mambumbumbu na mabumunda tukashangilia.UTOTO RAHA SANA
Kwahiyo ulikuwa unataka usemaje sasa?yanga wako tangu 2017 na tena hio channel walinunua kwa mtu. SIMBA imeanza from the grass roots level.
Kama ambavyo unabanduliwa wewe pamoja na Dada yako hapo kwa shemeji yako unapoishi. Pumbavu kabisa wewe.Hata records ya wachezaji kubanduana huko kambini mbona mnaishikilia nyie. Hongereni sana
Ndio mafanikio yenu msimu huuYaani mna ziada ya miaka miwili toka hiyo YouTube channel ianzishwe mwaka 2017
Wakati channel ya simba ilianza mwaka 2019 tu ila tayari inakatibia watizamaji milioni 70