Records: Sure Boy na Mudathir walisimamishwa Azam kwa sababu ya kupanga matokeo dhidi ya Yanga

Records: Sure Boy na Mudathir walisimamishwa Azam kwa sababu ya kupanga matokeo dhidi ya Yanga

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
WACHEZAJI watatu wa Klabu ya Azam FC ambao ni Nahodha Aggrey Morris, Salum Abuubakar (Sure Boy) pamoja na Kiungo Mudathir Yahya Abbas walisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu.

Kupitia mjadala mkali wa Crown Media imebainika kuwa walipanga matokeo dhidi ya Yanga. Wameenda mbali na kuweka wazi kwamba Azam ilitoa report TFF lakini hakuna hatua zilizochukuliwa badala yake wachezaji hao walichukuliwa na timu iliyowanunua


My Take
Michezo hii inaendelea kwa kasi sana, Wakati GSM anadhamini timu hii haikuchukuliwa kama tahadhali?!
 
WACHEZAJI watatu wa Klabu ya Azam FC ambao ni Nahodha Aggrey Morris, Salum Abuubakar (Sure Boy) pamoja na Kiungo Mudathir Yahya Abbas walisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu.

Kupitia mjadala mkali wa Crown Media imebainika kuwa walipanga matokeo dhidi ya Yanga. Wameenda mbali na kuweka wazi kwamba Azam ilitoa report TFF lakini hakuna hatua zilizochukuliwa badala yake wachezaji hao walichukuliwa na timu iliyowanunua


My Take
Michezo hii inaendelea kwa kasi sana, Wakati GSM anadhamini timu hii haikuchukuliwa kama tahadhali?!
Ni kawaida ya utopolo maana ni timu inayotumika sana kusiasa pia

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
WACHEZAJI watatu wa Klabu ya Azam FC ambao ni Nahodha Aggrey Morris, Salum Abuubakar (Sure Boy) pamoja na Kiungo Mudathir Yahya Abbas walisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu.

Kupitia mjadala mkali wa Crown Media imebainika kuwa walipanga matokeo dhidi ya Yanga. Wameenda mbali na kuweka wazi kwamba Azam ilitoa report TFF lakini hakuna hatua zilizochukuliwa badala yake wachezaji hao walichukuliwa na timu iliyowanunua


My Take
Michezo hii inaendelea kwa kasi sana, Wakati GSM anadhamini timu hii haikuchukuliwa kama tahadhali?!
Vipi hao crown hawana mjadala wa 5imba kuchukua wachezaji wa 5 kutoka azam wa kikosi cha kwanza na kwenda kutawala Timu ya 5imba, au mjadala huo bado?
 
Tupo bize na mwezi mtukufu, ngoja upite kwanza ndo mambo mengine yaendelee
 
WACHEZAJI watatu wa Klabu ya Azam FC ambao ni Nahodha Aggrey Morris, Salum Abuubakar (Sure Boy) pamoja na Kiungo Mudathir Yahya Abbas walisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu.

Kupitia mjadala mkali wa Crown Media imebainika kuwa walipanga matokeo dhidi ya Yanga. Wameenda mbali na kuweka wazi kwamba Azam ilitoa report TFF lakini hakuna hatua zilizochukuliwa badala yake wachezaji hao walichukuliwa na timu iliyowanunua


My Take
Michezo hii inaendelea kwa kasi sana, Wakati GSM anadhamini timu hii haikuchukuliwa kama tahadhali?!
Hao ndiyo wale wachambuzi wenye gubu la kunyimwa 10k aka wapiga mizinga Engeneer aliye walalamikia au🤣
 
WACHEZAJI watatu wa Klabu ya Azam FC ambao ni Nahodha Aggrey Morris, Salum Abuubakar (Sure Boy) pamoja na Kiungo Mudathir Yahya Abbas walisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu.

Kupitia mjadala mkali wa Crown Media imebainika kuwa walipanga matokeo dhidi ya Yanga. Wameenda mbali na kuweka wazi kwamba Azam ilitoa report TFF lakini hakuna hatua zilizochukuliwa badala yake wachezaji hao walichukuliwa na timu iliyowanunua


My Take
Michezo hii inaendelea kwa kasi sana, Wakati GSM anadhamini timu hii haikuchukuliwa kama tahadhali?!
Kupata VITUKO kama hivi andika wiper KWENDA no ""15777
 
WACHEZAJI watatu wa Klabu ya Azam FC ambao ni Nahodha Aggrey Morris, Salum Abuubakar (Sure Boy) pamoja na Kiungo Mudathir Yahya Abbas walisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu.

Kupitia mjadala mkali wa Crown Media imebainika kuwa walipanga matokeo dhidi ya Yanga. Wameenda mbali na kuweka wazi kwamba Azam ilitoa report TFF lakini hakuna hatua zilizochukuliwa badala yake wachezaji hao walichukuliwa na timu iliyowanunua


My Take
Michezo hii inaendelea kwa kasi sana, Wakati GSM anadhamini timu hii haikuchukuliwa kama tahadhali?!
Kuna watu mkianzisha nyuzi huwa nategemea kukuta madini lakini Sasa....!
 
Back
Top Bottom