Records za Tanzania kimataifa

Records za Tanzania kimataifa

Luther samwel

Member
Joined
May 20, 2020
Posts
85
Reaction score
43
1.ni nchi ya pili kwa vivutio vya utalii duniani kote baada ya Brazil

2.makao makuu ya jumuiya ya Afrika mashariki

3.makao makuu ya shirika la posta duniani Arusha

Nchi ya tano bora kwa idadi ya watu Afrika ya sita south Afrika

Serengeti ni hifadhi bora Afrika

Nchi ya kwanza kwa amani Afrika mashariki

Nchi ya kwanza afAfri mashariki kwa kupambana na rushwaa

Nchi pekee Afrika inayotumia lugha yake yenyewe kiswahili

Jiji kubwa sana Afrika mashariki lipo Tanzania

Jiji la kidiplomasia Afrika lipo Tanzania

Na mengine mengi ambayo yanapatikana katika tovuti ya wikipidia ya ukurasa wa Tanzania
 
Na wanao pita bila kupingwa wapo Tanzania

Na Tume ya uchaguzi haion kura feki mpaka ushaidi zile video hawazion

Walio kufa Zanzibar hawaonekani au ni wawil tu Kama walivo sema

NI nchi ya amani iliyokodi jeshi Burundi kuja vitani nchini Zanzibar kwa ajili ya mapigano

NI nchi yenye chama kinachopendwa zaid lakini hakitaki uchaguzi wa haki na kuhesabu kura hadharani.
.Ni nchi Ambayo wanachama wake wakifanya kosa linakuwa sio kubwa kivile Ila wapinzani kila siku ni watakatishaji fedha
 
Sina hakika na kuwa ya pili kwa vivutio.

Angalia takwimu zako...tusiwe kama wakenya maana hawana tofauti na wasanii wa Bongo fleva kazi yao kuongeza 000.

Kati ya maajabu 7 ya Afrika...Tanzania tuna ma 3.

1. Serengeti National Park.

2. The Mighty Kilimanjaro.

3. Ngorongoro Caldera....
 
Porojo nyingi ila watalii kwa mwaka Ni milion 1 Licha ya vivutio vyote hivyo.


Sisi ni matajiri ila watu wasiokuwa na kazi hawalipwi unemployment benefits. South Africa watoto wanalipwa Rand 3000 na wazee kuanzia miaka 50 unalipwa Rand 15,000 kila mwezi Kama posho ya kujikimu.

Sisi bongo Licha ya kujitapa matajiri wazee hawapew lolote shida tu... Vijana wasio na ajira hawapew unemployment benefits.


Kinachowezekana Ni propaganda tu
 
Hapo posta vipi? Ni hii hii ambayo inalalamikiwa kuwa mizigo hupotelea mikononi mwao?
 
Tanzania ni:

1.Nchi ya 4 duniani kwa kukosa furaha duniani.

2.Nchi pekee duniani yenye uthubutu wa kufanya ufisadi nje ya mipaka yake(ufisadi across borders-refer to TZS billion zaidi ya 70 za EU za kupambana na COVID-19 vile zilipigwa) lakini hujitamba kuwa ni kiboko ya kupambana na ufisadi pamoja na rushwa.

3.Ni nchi pekee duniani ambayo wananchi wake hawana amani moyoni na huwa wapo wapo tu kama magoigoi.

4.Ni nchi pekee duniani kudai kuiondoa Corona kwa maombi ya siku tatu.

5.Ni nchi pekee duniani iliyoweza kugundua virusi vya Corona kwenye oil za magari,mapapai na kwenye vyuma.

6.Ni nchi pekee duniani inayoamini katika demokrasia ya wizi wa kura.

7.Ni nchi pekee duniani ambayo wananchi wake wanaamini kuwa kutetea haki zao ni kitendo cha aibu na ni kitendo cha kituko.

8.Ni nchi pekee duniani ambayo huwaita na kuwakejeli wadau wake wa maendeleo kuwa ni mabeberu.

9.Ni nchi pekee duniani ambayo huamini kuwa ni matajiri sana na wana uwezo hata wa kuwa donar country lakini wamo katika nchi kumi masikini zaidi duniani.

10.Ni nchi pekee duniani ambayo kiongozi wake mkuu huwa hapendi kuwaona wala kusikia juu ya wanawake weusi.
 
Porojo nyingi ila watalii kwa mwaka Ni milion 1 Licha ya vivutio vyote hivyo.


Sisi ni matajiri ila watu wasiokuwa na kazi hawalipwi unemployment benefits. South Africa watoto wanalipwa Rand 3000 na wazee kuanzia miaka 50 unalipwa Rand 15,000 kila mwezi Kama posho ya kujikimu.

Sisi bongo Licha ya kujitapa matajiri wazee hawapew lolote shida tu... Vijana wasio na ajira hawapew unemployment benefits.


Kinachowezekana Ni propaganda tu

Mkuu namna rasilimali zinavyotumika hilo ni suala lingine... na sio langu wala lake tu.

Ni la kila Mtanzania.....

SASSA inamlipa nani hizo elfu 15000 na elfu 3000 mkuu? Ni over 60 if am not mistaken.

Hao watu wakipata hizo pesa nakuhakikishia kwa maisha ya hovyo wanayoishi hapatakalika...nadhani watoto kila mmoja ni chini ya R800 wazee ni less than R1.5.

But mwisho wa siku lengo sio kukurekebisha...ishu ni South Africa wameendelea kutuzidi...ila haituzuii kuisifu na kuipenda nchi yetu.....na maendeleo ya nchi ni ya kila mmoja.
 
Tanzania ni:

1.Nchi ya 4 duniani kwa kukosa furaha

2.Nchi pekee duniani yenye uthubutu wa kufanya ufisadi nje ya mipaka yake(ufisadi across borders-refer TZS billion zaidi ya 70 za kupambana na COVID-19 vile zilipigwa) lakini hujitamba kuwa ni kiboko wa kupambana na rushwa.

3.Ni nchi pekee duniani ambayo wananchi wake hawana amani moyoni na wapo tu kama magoigoi

4.Ni nchi pekee duniani kudai kuiondoa Corona kwa maombi ya siku tatu

5.Ni nchi ya kwanza duniani iliyoweza kugundua virusi vya Corona kwenye oil,mapapai na kwenye vyuma

6.Ni nchi pekee duniani inayoamini katika demokrasia ya wizi wa kura

7.Ni nchi pekee duniani ambayo wananchi wake wanaamini kuwa kutetea haki zao ni kitendo cha aibu na ni kitendo cha kituko

8.Ni nchi pekee duniani ambayo huwaita na kuwakejeli wadau wake wa maendeleo kuwa ni mabeberu

9.Ni nchi pekee ambayo huamini kuwa ni matajiri sana na wana uwezo wa kuwa donar country lakini wamo katika nchi kumi masikini zaidi duniani

10.
nonsense
 
Sina hakika na kuwa ya pili kwa vivutio.

Angalia takwimu zako...tusiwe kama wakenya maana hawana tofauti na wasanii wa Bongo fleva kazi yao kuongeza 000.

Kati ya maajabu 7 ya Afrika...Tanzania tuna ma 3.

1. Serengeti National Park.

2. The Mighty Kilimanjaro.

3. Ngorongoro Caldera....
nimejithibitishia kuwa wa pili kidunia kwa tourism world forum na wizara ya utalii Tanzania
 
1.ni nchi ya pili kwa vivutio vya utalii duniani kote baada ya Brazil

2.makao makuu ya jumuiya ya Afrika mashariki

3.makao makuu ya shirika la posta duniani Arusha

Nchi ya tano bora kwa idadi ya watu Afrika ya sita south Afrika

Serengeti ni hifadhi bora Afrika

Nchi ya kwanza kwa amani Afrika mashariki

Nchi ya kwanza afAfri mashariki kwa kupambana na rushwaa

Nchi pekee Afrika inayotumia lugha yake yenyewe kiswahili

Jiji kubwa sana Afrika mashariki lipo Tanzania

Jiji la kidiplomasia Afrika lipo Tanzania

Na mengine mengi ambayo yanapatikana katika tovuti ya wikipidia ya ukurasa wa Tanzania
Na wananchi wasiojitambua wanapatikana tanzania
 
Mkuu namna rasilimali zinavyotumika hilo ni suala lingine... na sio langu wala lake tu.

Ni la kila Mtanzania.....

SASSA inamlipa nani hizo elfu 15000 na elfu 3000 mkuu? Ni over 60 if am not mistaken.

Hao watu wakipata hizo pesa nakuhakikishia kwa maisha ya hovyo wanayoishi hapatakalika...nadhani watoto kila mmoja ni chini ya R800 wazee ni less than R1.5.

But mwisho wa siku lengo sio kukurekebisha...ishu ni South Africa wameendelea kutuzidi...ila haituzuii kuisifu na kuipenda nchi yetu.....na maendeleo ya nchi ni ya kila mmoja.
Acha upumbavu wako hapa nimetoka south africa juzi naongea ninachoongea.

Mtoto south africa kila mwisho wa mwezi ANAPEWA shilingi laki tatu ( 300,000) mpaka akifikisha miaka 18. Mzee kuanzia miaka 50 ANAPEWA shilingi si chini ya milion 1. Unaleta ujuaji wakati unaishi kwa shemeji yako. Tembea uone nchi zinazopaswa kujiita Tajiri sio nyie takataka. Mnasema mna madini ya kila namna na mambuga ya utalii ila watu wasio na kazi hawalipwi, wazee hawalipwi na watoto hawalipwi. Sasa hapa si jehanamu.



Serikali ndio inalipa raia wake kenge wewe. Sio Nyie unasikini umejaa Hadi matakoni mnatupigia kelele ng'ombe wewe.

Sasa Kama wanalewea wewe inakuhusu nini , Nyie ndio mnawanyima wastaafu hela zao zote za kustaafu eti watazitumia hovyo.


Mjinga kweli wewe.
 
nimejithibitishia kuwa wa pili kidunia kwa tourism world forum na wizara ya utalii Tanzania
Tanzania haiwezi kuwa hata top ten kwa Utalii duniani. Tanzania haijaizidi Mexico, Brazil, Egypt, China, Australia na nchi nyingine nyingi. Hapo ni vivutio tu bado kuna idadi ya kutembelewa ambapo idadi ya wanaotembelea jiji la Paris kwa ajili ya kitalii ni wengi kuliko wanaotembelea Tz.
 
1.ni nchi ya pili kwa vivutio vya utalii duniani kote baada ya Brazil

2.makao makuu ya jumuiya ya Afrika mashariki

3.makao makuu ya shirika la posta duniani Arusha

Nchi ya tano bora kwa idadi ya watu Afrika ya sita south Afrika

Serengeti ni hifadhi bora Afrika

Nchi ya kwanza kwa amani Afrika mashariki

Nchi ya kwanza afAfri mashariki kwa kupambana na rushwaa

Nchi pekee Afrika inayotumia lugha yake yenyewe kiswahili

Jiji kubwa sana Afrika mashariki lipo Tanzania

Jiji la kidiplomasia Afrika lipo Tanzania

Na mengine mengi ambayo yanapatikana katika tovuti ya wikipidia ya ukurasa wa Tanzania
Ethiopia pia inatumia lugha yake yenyewe Amharic.
 
Mbona Malazy huwa mnasahau kutaja Kilimanjaro. Hicho ndicho kitu cha maana sana ambacho mlibarikiwa nacho na Mungu
 
Tanzania tuna mengi ya kujivunia saana... tutembee vifua mbere.

Hatujilinganishi na kuyadharau mataifa mengine ila Tanzania ni nchi bora Duniani.
Sio mbere bali mbele
 
Tanzania haiwezi kuwa hata top ten kwa Utalii duniani. Tanzania haijaizidi Mexico, Brazil, Egypt, China, Australia na nchi nyingine nyingi. Hapo ni vivutio tu bado kuna idadi ya kutembelewa ambapo idadi ya wanaotembelea jiji la Paris kwa ajili ya kitalii ni wengi kuliko wanaotembelea Tz.
Majinga Kama haya ndio yanapewa yaongoze nchi mkuu,

Hakuna nchi kutoka Africa imo kwenye orodha ya most visited countries by tourists ya Mwaka 2019 , nchi Kama uingereza imeshika nafasi ya 10 kwa kuwa na watalii milion 30+ , tanzania inakuwaje kwenye hiyo nafasi wakati inatembelewa na watalii milion 1 kwa mwaka


 
Back
Top Bottom