Records za Tanzania kimataifa

Records za Tanzania kimataifa

Sio mbere bali mbele
Kwahiyo unadhani mimi sijui kiswahili mkuu?

Tafadhali nisahihishe kwenye kiingereza sio kiswahili.... nina maana yangu kuandika mbere.
 
Acha upumbavu wako hapa nimetoka south africa juzi naongea ninachoongea.

Mtoto south africa kila mwisho wa mwezi ANAPEWA shilingi laki tatu ( 300,000) mpaka akifikisha miaka 18. Mzee kuanzia miaka 50 ANAPEWA shilingi si chini ya milion 1. Unaleta ujuaji wakati unaishi kwa shemeji yako. Tembea uone nchi zinazopaswa kujiita Tajiri sio nyie takataka. Mnasema mna madini ya kila namna na mambuga ya utalii ila watu wasio na kazi hawalipwi, wazee hawalipwi na watoto hawalipwi. Sasa hapa si jehanamu.



Serikali ndio inalipa raia wake kenge wewe. Sio Nyie unasikini umejaa Hadi matakoni mnatupigia kelele ng'ombe wewe.

Sasa Kama wanalewea wewe inakuhusu nini , Nyie ndio mnawanyima wastaafu hela zao zote za kustaafu eti watazitumia hovyo.


Mjinga kweli wewe.
Umetoka kumbe??? Nikajua unaishi na unaujua utaratibu mzima wa mpango wa SASSA.....

[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umeover react saana hadi unaandika naishi kwa shemeji..shemeji ndiye anaeishi kwangu mkuu....vipi amani ipo moyoni mwako mkuu?

R15000 ni pesa nyingi saana kaka...huo mshahara unatafutwa kwa hali na uvumba na walio wengi. Ukirudi ulizia tena vizuri mkuu utaratibu wa SASSA ndiyo taasisi inayojihusisha na masuala haya.
 
Tanzania haiwezi kuwa hata top ten kwa Utalii duniani. Tanzania haijaizidi Mexico, Brazil, Egypt, China, Australia na nchi nyingine nyingi. Hapo ni vivutio tu bado kuna idadi ya kutembelewa ambapo idadi ya wanaotembelea jiji la Paris kwa ajili ya kitalii ni wengi kuliko wanaotembelea Tz.
tunazungumzia vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania ondoa ubishi nenda kaperuzi list ingawa Egypt ndo inaongoza kwa watalii takribani million 10
 
1.ni nchi ya pili kwa vivutio vya utalii duniani kote baada ya Brazil

2.makao makuu ya jumuiya ya Afrika mashariki

3.makao makuu ya shirika la posta duniani Arusha

Nchi ya tano bora kwa idadi ya watu Afrika ya sita south Afrika

Serengeti ni hifadhi bora Afrika

Nchi ya kwanza kwa amani Afrika mashariki

Nchi ya kwanza afAfri mashariki kwa kupambana na rushwaa

Nchi pekee Afrika inayotumia lugha yake yenyewe kiswahili

Jiji kubwa sana Afrika mashariki lipo Tanzania

Jiji la kidiplomasia Afrika lipo Tanzania

Na mengine mengi ambayo yanapatikana katika tovuti ya wikipidia ya ukurasa wa Tanzania
Umesahau hili ambalo ndio kubwa, Ndio nchi pekee duniani iliokua haina ugonjwa wa Corona
 
Tanzania ni:

1.Nchi ya 4 duniani kwa kukosa furaha duniani.

2.Nchi pekee duniani yenye uthubutu wa kufanya ufisadi nje ya mipaka yake(ufisadi across borders-refer to TZS billion zaidi ya 70 za EU za kupambana na COVID-19 vile zilipigwa) lakini hujitamba kuwa ni kiboko ya kupambana na ufisadi pamoja na rushwa.

3.Ni nchi pekee duniani ambayo wananchi wake hawana amani moyoni na huwa wapo wapo tu kama magoigoi.

4.Ni nchi pekee duniani kudai kuiondoa Corona kwa maombi ya siku tatu.

5.Ni nchi pekee duniani iliyoweza kugundua virusi vya Corona kwenye oil za magari,mapapai na kwenye vyuma.

6.Ni nchi pekee duniani inayoamini katika demokrasia ya wizi wa kura.

7.Ni nchi pekee duniani ambayo wananchi wake wanaamini kuwa kutetea haki zao ni kitendo cha aibu na ni kitendo cha kituko.

8.Ni nchi pekee duniani ambayo huwaita na kuwakejeli wadau wake wa maendeleo kuwa ni mabeberu.

9.Ni nchi pekee duniani ambayo huamini kuwa ni matajiri sana na wana uwezo hata wa kuwa donar country lakini wamo katika nchi kumi masikini zaidi duniani.

10.Ni nchi pekee duniani ambayo kiongozi wake mkuu huwa hapendi kuwaona wala kusikia juu ya wanawake weusi.
Si kweli Mimi ninayo Aman labda useme wewe huna Aman sio wananchi wake
 
Umetoka kumbe??? Nikajua unaishi na unaujua utaratibu mzima wa mpango wa SASSA.....

[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umeover react saana hadi unaandika naishi kwa shemeji..shemeji ndiye anaeishi kwangu mkuu....vipi amani ipo moyoni mwako mkuu?

R15000 ni pesa nyingi saana kaka...huo mshahara unatafutwa kwa hali na uvumba na walio wengi. Ukirudi ulizia tena vizuri mkuu utaratibu wa SASSA ndiyo taasisi inayojihusisha na masuala haya.

Nani kaka yako ? Siwezi kuwa na ndugu kichaa sampuli yako. Stop Calling me your fvckin Kaka go find either...


Sasa kabla ya kutoka huko si ndio nilikuwa naishi au unaelewa nini maana ya kuishi.


Wewe ni mpumbavu sana Rand 15,000 ni sawa na Dola 970 Sasa hiyo hela Ina ukubwa gani ? Mi raia Kama wewe mna mavichwa yaliyojaa makamasi.


Yani unafunua limdomo lako kusema Dolla 900 ni mshahara unaotafutwa kwa kila namna wakati hata TANZANIA Kuna watu kibao wanalipwa huo mshahara. Kama unaona dola 900 ni hela kubwa kwa mwezi Basi wewe una kichaa.


Huna unalojua kuhusu SA taahira wewe nimekuwekea taarifa hapa kuwa SA mtoto analipwa laki 3 ya TANZANIA kila mwisho wa mwezi na ukifika umri wa uzee unalipwa Rand 15000 Hadi kufa. Sasa endelea kuonesha ujinga wako hapa.
 
Si kweli Mimi ninayo Aman labda useme wewe huna Aman sio wananchi wake
Wewe ni nani hadi upinge tafiti za UN?Je, ni sahihi kajamba nani yoyote yule kupinga tafiti?

Hii ilikuwa ni ripoti ya UN ya march 2020 ambapo Tanzania ilikuwa namba 6,ripoti ya juzi Tanzania wamerudi namba nne.

1606025.jpg
 
Acha upumbavu wako hapa nimetoka south africa juzi naongea ninachoongea.

Mtoto south africa kila mwisho wa mwezi ANAPEWA shilingi laki tatu ( 300,000) mpaka akifikisha miaka 18. Mzee kuanzia miaka 50 ANAPEWA shilingi si chini ya milion 1. Unaleta ujuaji wakati unaishi kwa shemeji yako. Tembea uone nchi zinazopaswa kujiita Tajiri sio nyie takataka. Mnasema mna madini ya kila namna na mambuga ya utalii ila watu wasio na kazi hawalipwi, wazee hawalipwi na watoto hawalipwi. Sasa hapa si jehanamu.



Serikali ndio inalipa raia wake kenge wewe. Sio Nyie unasikini umejaa Hadi matakoni mnatupigia kelele ng'ombe wewe.

Sasa Kama wanalewea wewe inakuhusu nini , Nyie ndio mnawanyima wastaafu hela zao zote za kustaafu eti watazitumia hovyo.


Mjinga kweli wewe.
Mbona povu ndugu south wanakusanya kodi sisi TRA wakiongea hata swala la Tin kelele zinaanza hizo hela zitatoka kwenye pumb..la baba ako
 
Wewe ni mpumbavu sana Rand 15,000 ni sawa na Dola 970 Sasa hiyo hela Ina ukubwa gani ? Mi raia Kama wewe mna mavichwa yaliyojaa makamasi.


Yani unafunua limdomo lako kusema Dolla 900 ni mshahara unaotafutwa kwa kila namna wakati hata TANZANIA Kuna watu kibao wanalipwa huo mshahara. Kama unaona dola 900 ni hela kubwa kwa mwezi Basi wewe una kichaa.


Huna unalojua kuhusu SA taahira wewe nimekuwekea taarifa hapa kuwa SA mtoto analipwa laki 3 ya TANZANIA kila mwisho wa mwezi na ukifika umri wa uzee unalipwa Rand 15000 Hadi kufa. Sasa endelea kuonesha ujinga wako hapa.

Mkuu ni ngumu kumulekeza mtu kama wewe...kwa come down twende sawa...

Ukirekebishwa kubali...hakuna Mzee anayelipwa Rand 15000 wala watoto wanaolipwa Rand 3000 SA kwa mwezi kama grand ya uzee au foster child.

Kwanza niweke hili sawa...sio kila mtoto analipwa wala sio kila mzee analipwa... kwa watoto wenye disability, waaolelewa nawatu baki(foster children) na wale wa kaya maskini...

Hawa kaya maskini wazazi wanatakiwa wawe monthly wanapokea chini ya 4000..

Kwa wazee nako kuna kigezo cha kutokumiliki mali yenye thamani ya kiasi fulani. Sikumbuki kiasi halisi....nitauliza....hivyo kama ni wastaafu wenye mali za kias fulani less than a million wanautaratibu wao mwingine kabisa.

Hata huwa haziwatoshi akishapewa akaingia Bar....akirudi anarudi na mfuko wa Unga na mafuta ya kupika tupesa tumeisha... kwa wazee hizi nimeskia ila kwa watoto nina experience.

Acha nikutafutie website ya SASSA lazma watakuwa wameweka vigezo na kiasi mtu anachpata kwa mwezi.


Mshahara wa Rand 15000 ni mshahara mkubwa kwa SA mkuu.. sasa ishu ya mimi nauona mkubwa au mdogo haihusiki hapa...au sijui ukibadilisha kwa USD unakuwa mdogo au mkubwa haihusiki kabisa...nilichotaka ni kuweka facts sawa tu.

..huo mshahara wanaingiza seniors japo Juniors wapo ila wachache mkuu. Mzansi ilivyo na watu wavivu nakuambia wangeacha kazi na kujiandikisha kupata hiyo grant....

Wewe utaendelea kupokea mshahara wa Rand 6000 unamiaka 50 na wakati kuna grant ya 15000? Is it sensible to you?
 
1.ni nchi ya pili kwa vivutio vya utalii duniani kote baada ya Brazil

2.makao makuu ya jumuiya ya Afrika mashariki

3.makao makuu ya shirika la posta duniani Arusha

Nchi ya tano bora kwa idadi ya watu Afrika ya sita south Afrika

Serengeti ni hifadhi bora Afrika

Nchi ya kwanza kwa amani Afrika mashariki

Nchi ya kwanza afAfri mashariki kwa kupambana na rushwaa

Nchi pekee Afrika inayotumia lugha yake yenyewe kiswahili

Jiji kubwa sana Afrika mashariki lipo Tanzania

Jiji la kidiplomasia Afrika lipo Tanzania

Na mengine mengi ambayo yanapatikana katika tovuti ya wikipidia ya ukurasa wa Tanzania
Hayo yote mambuzi dume wanataka kuyasambaratisha
 
tunazungumzia vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania ondoa ubishi nenda kaperuzi list ingawa Egypt ndo inaongoza kwa watalii takribani million 10
Wewe peruzi ulete list kisha uoneshe Tanzania iko namba ngapi
 
Porojo nyingi ila watalii kwa mwaka Ni milion 1 Licha ya vivutio vyote hivyo.


Sisi ni matajiri ila watu wasiokuwa na kazi hawalipwi unemployment benefits. South Africa watoto wanalipwa Rand 3000 na wazee kuanzia miaka 50 unalipwa Rand 15,000 kila mwezi Kama posho ya kujikimu.

Sisi bongo Licha ya kujitapa matajiri wazee hawapew lolote shida tu... Vijana wasio na ajira hawapew unemployment benefits.


Kinachowezekana Ni propaganda tu
Acha uongo Mkuu unaijuwa Rand 15,000 au unaisikia kwenye bomba?
 
Wewe ni mpumbavu Sana unaleta upuuzi wa Google ngoja nikupandishie cheques za mzee wetu mmoja uone figure alizokuwa anapokea na ana miaka 62
Hahaha......

Ukinithibitishia wazee wanalipwa grant narudia tena grant ya R15 000 na sio mafao nitakupa elfu 50.
 
Acha uongo Mkuu unaijuwa Rand 15,000 au unaisikia kwenye bomba?
Jamaa haijui Rand 15 000.....namwambia waSouth Africa wengi wanalilia kulipwa huo mshahara...anadhani namdanganya.

Na juzi tu serikali imetangaza 2021 minimum wage iwe R21 kwa saa ambayo kwa mahesabu ya kawaida hiyo ni 3000 kwa mwezi....

Hizi nchi hazina tofauti kubwa saana kimaisha...ni kwa vile tu tumeaminishana tu maskini ila sisi sio maskini kama tunavyofikiria.

Mfano mdogo tu....Kama unafanya kazi South Africa na unalipwa Rand 6000 ni afadhali mtu anayelipwa mshahara wa laki 7 na yupo Tanzania...huyu ataishi maisha mazuri kukuzidi kama mnaishi maisha yanayoendana.

Maisha Tanzania/East Africa sio ghali.....kwa maisha yetu tunayoishi unakuta mtu anajilimia tu heka ya maharage na anasomesha watoto.... nchi nyingi Duniani huwezi kuishi.
 
Ndiyo nchi pekee inayoshangilia wapinzani lakini siku ya mwisho wanawatema na kurudi nyumbani kwa Mama (CCM) kuhofia nchi itauzwa na mashetani (wapinzani).
 
Back
Top Bottom