Records zinambeba Yanga Kwa Al ahly

Records zinambeba Yanga Kwa Al ahly

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
"Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-

Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi

Mechi walizocheza

Hawa miamba wamekutana mara 4

Al ahly kashinda mechi 2

DRaw 1

Yanga kashinda mechi 1

NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]
1696651043334.jpg
 
"Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-

Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi

Mechi walizocheza

Hawa miamba wamekutana mara 4

Al ahly kashinda mechi 2

DRaw 1

Yanga kashinda mechi 1

NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]View attachment 2774179
Samahani mkuu,hao waliokandwa goli Tano ni akina nani!?
 
"Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-

Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi

Mechi walizocheza

Hawa miamba wamekutana mara 4

Al ahly kashinda mechi 2

DRaw 1

Yanga kashinda mechi 1

NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]View attachment 2774179
Tatizo la mashabiki wa yanga na viongozi wake wanaongea kabla ya tukio lakini simba wanasubiria tukio ndio waongee yaani unadhani al ahly wanapokea bahasha.
 
Back
Top Bottom