Mmanu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2015
- 1,775
- 1,011
Unashadadia kukandwa Simba 5 na ahly halafu unasahau kama na wewe ulikandwa 5 na mnyama[emoji28][emoji28]"Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-
Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi
Mechi walizocheza
Hawa miamba wamekutana mara 4
Al ahly kashinda mechi 2
DRaw 1
Yanga kashinda mechi 1
NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]View attachment 2774179