Records zinambeba Yanga Kwa Al ahly

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
"Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-

Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi

Mechi walizocheza

Hawa miamba wamekutana mara 4

Al ahly kashinda mechi 2

DRaw 1

Yanga kashinda mechi 1

NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]
 
Samahani mkuu,hao waliokandwa goli Tano ni akina nani!?
 
Tatizo la mashabiki wa yanga na viongozi wake wanaongea kabla ya tukio lakini simba wanasubiria tukio ndio waongee yaani unadhani al ahly wanapokea bahasha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…