Unashadadia kukandwa Simba 5 na ahly halafu unasahau kama na wewe ulikandwa 5 na mnyama[emoji28][emoji28]"Yanga atampiga Al Ahly na atachukua alama sita kwa Medeama."-
Japo mechi itakuwa ngumu... lakini itakuwa ni ya kisasi
Mechi walizocheza
Hawa miamba wamekutana mara 4
Al ahly kashinda mechi 2
DRaw 1
Yanga kashinda mechi 1
NB: Kuna timu ilikandwa 5_0 [emoji23]View attachment 2774179
Ukiacha simba ku kandwa voli kumi kstiks mechi mbili Ahly na vita Yanga pia ameshawahi kumkanda Simba goli 5 kwa sifuri.Kama timu yako haijawahi kukandwa 5 na Simba nyoosha mkono juu [emoji109]
Kwa taarifa yako,Yanga ndiyo imefungwa magoli mengi zaidi na Al Ahly kuliko SimbsAahaaaaa,mkuu kumbe we ni shabiki wa Ile timu iliyokandwa 5-0 na Al Ahyl pole mkuu
Kabla hatuja zaliwaUkiacha simba ku kandwa voli kumi kstiks mechi mbili Ahly na vita Yanga pia ameshawahi kumkanda Simba goli 5 kwa sifuri.
Wananiongelesha utazani hawajawah kufanywaNajua utopolo wengi mlikuwa hamjazaliwa,Yanga walifungwa na Al Ahly goli 5-0 mwaka 1982,na wakapigwa tena goli 4-0 mwaka 1988
Ahaaaaaa,mtafukua mpka takwimu za Kabla ya KristoKwa taarifa yako,Yanga ndiyo imefungwa magoli mengi zaidi na Al Ahly kuliko Simbs
Weee!!!Yanga aliwahi mkanda 6 kolo
Aaahaaaa,wanahangaika na Yanga buureKabla hatuja zaliwa
Mtafukua makabuli yote,tarehe 20/10/2023 kipondo kipo pale paleWeee!!!
Temea mate chini!!
Historia pekee ni ya Mwaka 1977 ambao Utopolo walipigwa 6-0 na Abdallah Kibadeni akaweka rekodi ya kufunga " hat tricks" kwenye mechi za watani wa Jadi rekodi ambayo mpaka leo miaka 46 baadae Bado haijavunjwa!!
Tunacheza na Yanga??Mtafukua makabuli yote,tarehe 20/10/2023 kipondo kipo pale pale
Mnacheza na ambaye mnamkuza mkidhani kuwa Yanga hamuweziTunacheza na Yanga??
πππ
Ngoja zamu Yako itafika tu na utakandwa bila wasiMnacheza na ambaye mnamkuza mkidhani kuwa Yanga hamuwezi
Tumewatamguliza nyie mgambo wetu,vita ikiwashinda wanajeshi twaja
Halafu huyo Al Ahyl Kila siku anakandwa 5,4 na Mamelodi
Mtani punguza hofu,jipange
Siye Wala hatutingishi,yeye ni kipimo Bora kwetu
SawaNgoja zamu Yako itafika tu na utakandwa bila wasi