Red Arrows 2-1 Simba SC | Shirikisho Afrika | Zambia

Red Arrows 2-1 Simba SC | Shirikisho Afrika | Zambia

Mkuu, hii ni knock out stage, halafu ni mechi ya kimataifa, sio Mbeya Kwanza
NI kweli.
Ila TUSIWE TUNAMALIZA MANENO.
MPIRA ni mchezo wa 50/50.
Kuna kupanda na kushuka.
Tuwe wavumilivu.
 
Zambia iko kusini ambapo jua linazamia, refa angemaliza mpira tuna mechi muhimu tarehe 11

Habari za kuwachezesha wachezaji wetu kwenye jua la utosi namna hii sio poa
 
Tulizoea ushindi Mkuu especially kwenye vitimu vidogo dogo kama hawa
MPIRA unaendelea hatuna haja ya kumaliza MANENO.
Lolote muda wowote linaweza kutokea.
Zikifika 90 .hapo tutakuwa na haki ya kulaumu
 
Ila tuwe wa kweli Simba ,inapitia kipindi kigumu.... Kama kile Cha Ulaya na Marekani miaka ya 30 Economic Depression!
Sijui no sheetani gani kapita!
Hapa h@ta ukimleta Misquine au Chama nI bila 2
 
Back
Top Bottom