OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mzamiru anatibu sana atasaidiaBocco, mzamiru in, dilunga, kagere out
Hakuna anayeweza kuzuia mawazo mbadala.Ila tuwe wa kweli Simba ,inapitia kipindi kigumu....kama kile Cha Ulaya na Marekani miaka ya 30 Economic Depression!
Sijui no sheetani gani kapita!
Hapa h@ta ukimleta Misquine au Chama nI bila 2
Topolo hiloMtangazaji anasema Arrows waongeze magoli mawili ili wasonge, sasa huyu si bora atangaze rede tu.
Sawa ila umekatwa mkia.Narudi banda umiza kwa kasi ya 40G
Ni muunganiko tu wa tim.Ila tuwe wa kweli Simba ,inapitia kipindi kigumu....kama kile Cha Ulaya na Marekani miaka ya 30 Economic Depression!
Sijui no sheetani gani kapita!
Hapa h@ta ukimleta Misquine au Chama nI bila 2
Tulia misukosuko ndo mwendo wa ngalawaSawa ila umekatwa mkia.
Mzamiru anacheza vizuri sana akitokea sub.Mzamiru anatibu sana atasaidia
Yaani hata haelewi... hajui hapo ni 4-4 then Simba anasonga kwa goli la ugeniniMtangazaji anasema Arrows waongeze magoli mawili ili wasonge, sasa huyu si bora atangaze rede tu.
Naaam naam, tunafunga mziki kulingana na ukubwa wa shereheLete Maneno
Yuko kwenye payroll ya GSM huyoMtangazaji anasema Arrows waongeze magoli mawili ili wasonge, sasa huyu si bora atangaze rede tu.
Dakika Ya Ngapi?Mzamiru anacheza vizuri sana akitokea sub.
Kiufupi kikosi hiki cha lala salama kiko vema.
Ukitoka ruksa kurudi ila wenzio wanakukata mkia.Tulia misukosuko ndo mwendo wa ngalawa