Hupendi vigeugeuSijawahi ona shabiki wa simba kigeugeu usiye na msimamo km wewe so saa hz ndio umeelewa kanuni ya mwalimu ushasahau maneno yako kpnd wazambia wanaongoza 2? Tujifunze kuweka akiba ya maneno
We unaona shuhuli hii ndogo?Kwa mpira upi.
Tuache ushabiki maandazi, Simba kaponea tundu la sindano, yani mbovu sana msimu huu.We unaona shuhuli hii ndogo?
Kweli kabisa......Tuache ushabiki maandazi, Simba kaponea tundu la sindano, yani mbovu sana msimu huu.
Hiyo ni mbinu ya kocha mzee we unataka ashinde na ugenini goli tatu?Tuache ushabiki maandazi, Simba kaponea tundu la sindano, yani mbovu sana msimu huu.
Achana na hao Utopolo. 2-4 aggregate ni kuponea tundu la sindano?Bora huyu anayeponea tundu la sindano. Watani mlifia tundu lipi? [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3]Angalau moyo wangu unarudia mapigo yake ya kawaida.
Wakati wao walitolewa hatua za awali bila hata kupata goliAchana na hao Utopolo. 2-4 aggregate ni kuponea tundu la sindano?
Woiii!![emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2]Wale Simba waliopo maeneo ya Banana hapa kwenye bar maarufu Java,, tusogee counter nalipia crate 3 za serengeti lite.
Simba nguvu mojaaaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Utopolo historia inawahukumu.Hivi utopolo wanavyolia humu washawahi kufika hatua ya makundi?
Wanaishia kuyaona tuuu!!Hivi utopolo wanavyolia humu washawahi kufika hatua ya makundi?
Watu oyeyo yeyoWatu wale....
Yule Mitrovic wamrudishe alimbadilisha sana ManulaUtoto mwingi. Manura si kipa bora
Hakuna cha mbinu, Simba msimu huu hamna kitu.Hiyo ni mbinu ya kocha mzee we unataka ashinde na ugenini goli tatu?