Red Arrows 2-1 Simba SC | Shirikisho Afrika | Zambia

Red Arrows 2-1 Simba SC | Shirikisho Afrika | Zambia

beki tumeilaumu kwakua mkude amepotea..
aliigharimu simba dhidi ya kaizer kule kwao, tukapwaya hivihivi beki zinatafutana..

kaizer ilipokwenda tz, mkude akawekwa bench, simba ikaimarika kati na tukawafunga kaizer. tangu ile mechi hadi mwal anaondoka, sidhani kama mkude alipata tena namb hapo hadi alipokuja huyu
Katika kosa Simba wamefanya ni kutokusajili kiungo mkabaji wa kusaidiana na Lwanga- matokeo yake inabidi wamtumie Mkude- ambaye hakabi vizuri- na kuwasababishia wenzie waonekane uchochoro- dilisha dogo watafute viungo wa maana- timu katikati haina uhai kabisa.
 
Dabi haipo kwenye makundi, ni ligi kama Mbeya Kwanza
Wao ndio malengo waliyojiwekea, wakati simba ikitafakari namna ya kuchukua kombe kwenye haya mashindano, huku majirani zetu wanamlipia hadi kocha wao kiingilio ili akazisome mbinu za mhispania
 
Katika kosa Simba wamefanya ni kutokusajili kiungo mkabaji wa kusaidiana na Lwanga- matokeo yake inabidi wamtumie Mkude- ambaye hakabi vizuri- na kuwasababishia wenzie waonekane uchochoro- dilisha dogo watafute viungo wa maana- timu katikati haina uhai kabisa.
Kennedy Juma anaweza sita
Nyoni anaweza Sita

Kama hayupo Lwanga, lakini Mkude hapana namba 6
 
Naomba kuuliza, kwa matokeo haya tumeweza kuzirudisha nafasi zetu nne? Maana awa wenzetu tusipo wapigania hizi nafasi hawatakaa washiriki mechi za kimataifa
 
Back
Top Bottom