kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,800
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwa macho tu inaonekana jinsi Wawa alivyopwaya sijui kwanini kocha asifanye sub akaingia Kenedy au Onyango.
Ndo mashaka yangu kwa huyo kocha kafundisha Madrid ipi ya Buza au Tandale kwa tumbo?