Red Arrows 2-1 Simba SC | Shirikisho Afrika | Zambia

Red Arrows 2-1 Simba SC | Shirikisho Afrika | Zambia

Kwa macho tu inaonekana jinsi Wawa alivyopwaya sijui kwanini kocha asifanye sub akaingia Kenedy au Onyango.
Ndo mashaka yangu kwa huyo kocha kafundisha Madrid ipi ya Buza au Tandale kwa tumbo?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mtawalaumu bule ao mabeki, jamaa wameingia na mbinu ya kuwakimbiza kwa kupitia pembeni Ila kwenye kumalizia wanakosa utulivu. Uapigajiwao wa Kross wanapiga hovyo. Simba wamekosa kujiamini, maana wanatakiwa muda mwingi wao ndio wakae na mpira bila kukaa na mpira Simba watakua na mechi ngumu Sana.
 
Kwa kweli kwa timu hii tarehe 11 tutakoma Simba,timu linabutua butua tu mipira,mipir haikai,pass za ovyo kabisa,na hata tukibahatika kufuzu hatua hii,huko mbele kama hatutabadilika tutadhalilika sana

Mwaka huu kwa Simba hii vyura wasipochukua ubingwa hawachukui ubingwa milele.
 
Kama kocha tuliyemleta ana plan za hivi akyanani tumepigwa mazee, timu inacheza kama haina kocha hatueleweki tunacheza defensive game au offensive game.
Yani tunashambuliwa kinyama na hatuendi mbele. Kutoboa leo ni almanusra kwakweli.
Poor performance though.
 
Katika makosa makubwa tuliyo yafanya Simba ni Kuruhusu Goli Kipindi Cha Kwanza.

Hii ni Big Mistake.

Tusipo Jirekebisha Tutakwisha
 
Toa Wawa weka Kenedy Juma,alafu li Wawa la nini tena lishachoka.
Toa Mkude weka Muzamiru.
Toa Dilunga weka Dunkan Nyoni au Kibu.
 
Ukikuta shabiki za uto zinaielezea simba unaweza zani ni team ya kijiji.
Utasikia "morison walikuw wanamsifiaa kumbe hana lolote"
 
Simba Sc, wakiwa na faida ya magoli matatu waliyoyapata mechi ya kwanza, leo wataingia uwanja wa taifa Lusaka kucheza mechi ya marudiano dhidi ya Red Arrows kuwania kuingia hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika. Je, mnyama ataweza kulinda ushindi wake na kutinga hatua ya makundi?

Tuwe hapa kuanzia Saa 10 Jioni
Kuna wachezaji simba sc inabidi wawe wa mapinduzi Cup moja wapo wawa bocco na nyoni. Ila wawa kazidi amachomesha saana na mwalimu asije fanya kosa akamuingiza nyoni itakua habari yetu imeisha. Atoe wawa atuletee onyango, na kapombe angalau ila wawa anakaba kwa macho always kosa yale yale. Hadui anapiga shuti kwenda golini kwetu bila bugdha yoyote wanafaa kumsindikizakwa macho.
 
Simba kafika golini kwa red arrow kwa dakika kama 5-7 baada ya hapo mpira umechezwa kwenye box la manula

Kweli kwa style hii na hiyo tarehe 11 sijui, kwanza mpira wenyewe sitaangalia mamamake
"Unasusa Susa.." in Manara Voice.(Jokes)

Mtani usisuse bhana.
 
Back
Top Bottom