ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ni ushauri tu kwa mkuu wa wilaya ya Temeke Mheshimiwa Gondwe, maana vitu vingine ni bora tujifunze kuchukua tahadhari mapema isije kutokea majuto tena tukawapoteza.
Ni wazi mambo yanakwenda kuwa kinyume kabisa na vile hawa ndugu zetu wanavyofikiria na kujipa moyo.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni wazi mambo yanakwenda kuwa kinyume kabisa na vile hawa ndugu zetu wanavyofikiria na kujipa moyo.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app