Red flag gani ilikukimbiza kutoka kwa mwanaume/mwanamke uliyekuwa ukimtaka?

Red flag gani ilikukimbiza kutoka kwa mwanaume/mwanamke uliyekuwa ukimtaka?

Aisee nilimpenda mshichana kitu kilikuja kunikata moto siku ananielekeza menu ya kukopa Salio halotel niliogopa mno

*149*63#
we uliona nini cha ajabu hapo sasa...?
mkuu huyo anakufaa maana ni mfukunyuku!, huyo anaweza kukutafutia hata kitu ulichopoteza miaka mitano nyuma!, hukujua kumtumia ukatanguliza uoga!.
 
Wanaume muwe mnajitahidi kuosha na kukausha vizuri sehemu zenu za siri, hasa tupu ya nyuma na haya makende mawili yanayoning'inia hasa pale mnapotoka vibaruani.

Yule mwanaume kanifanya mpaka leo nikimuona sokwe na viungo vyake namkumbuka yeye.

Sitasema mengi maana itakuwa kama namdhalilisha, ila tu muwe wasafi, maana wengine tunapenda kuyanyonya hayo makende.
 
Aisee nilimpenda mshichana kitu kilikuja kunikata moto siku ananielekeza menu ya kukopa Salio halotel niliogopa mno

*149*63#
Kuna demu alinipeleka kwao kunitambulisha, aiseee sitasahau. Mama ni mbabe, anamtuma mume wake huku Na kule wakati wana watoto vijana wakubwa kabisa wa kuwatuma.

BABA amejawa Na stress, hofu na woga, sura haina nuru.

Nikasema sirudi
 
Wanaume muwe mnajitahidi kuosha na kukausha vizuri sehemu zenu za siri, hasa tupu ya nyuma na haya makende mawili yanayoning'inia hasa pale mnapotoka vibaruani.
Yule mwanaume kanifanya mpaka leo nikimuona sokwe na viungo vyake namkumbuka yeye.

Sitasema mengi maana itakuwa kama namdhalilisha, ila tu muwe wasafi, maana wengine tunapenda kuyanyonya hayo makende.
Alikuwa na brush wire....nyoya limesimama wima!!
 
Kuna demu alinipeleka kwao kunitambulisha, aiseee sitasahau. Mama ni mbabe, anamtuma mume wake huku Na kule wakati wana watoto vijana wakubwa kabisa wa kuwatuma.

BABA amejawa Na stress, hofu na woga, sura haina nuru.

Nikasema sirudi
Mimi ningehairisha kuoa. Hiyo tabia mwanaye hawezi kuikosa
 
Nilitemana naye siku ambayo nilimuwekea video za warumi ili tuongeze stamina ya mchezo, yeye akaanza kunambia favourite artists wake katika engo hizo

Alikuwa anamjua Jonny Sins na roles zake zote, Mia Khalifa ndo usiseme. Nikasema hapa nimelikoroga.
 
we uliona nini cha ajabu hapo sasa...?
mkuu huyo anakufaa maana ni mfukunyuku!, huyo anaweza kukutafutia hata kitu ulichopoteza miaka mitano nyuma!, hukujua kumtumia ukatanguliza uoga!.
Niliogopa kausha damu
 
Nilitemana naye siku ambayo nilimuwekea video za warumi ili tuongeze stamina ya mchezo, yeye akaanza kunambia favourite artists wake katika engo hizo

Alikuwa anamjua Jonny Sins na roles zake zote, Mia Khalifa ndo usiseme. Nikasema hapa nimelikoroga.
Mbona uliweka?
 
Kuna demu alinipeleka kwao kunitambulisha, aiseee sitasahau. Mama ni mbabe, anamtuma mume wake huku Na kule wakati wana watoto vijana wakubwa kabisa wa kuwatuma.

BABA amejawa Na stress, hofu na woga, sura haina nuru.

Nikasema sirudi
Tabora iyo
 
Kuna demu alinipeleka kwao kunitambulisha, aiseee sitasahau. Mama ni mbabe, anamtuma mume wake huku Na kule wakati wana watoto vijana wakubwa kabisa wa kuwatuma.

BABA amejawa Na stress, hofu na woga, sura haina nuru.

Nikasema sirudi
Ukuomba dharura kwanza!
Kuna nyumba nyingine wazee wa mji ndio wana vierehere hatari..!
 
Amejawa na namba za maboys kwenye simu zake,nikimuuliza anasema ni marafiki tu si kingine,siku moja nikaona hadi namba za rafki yangu kabisa, nilipofuatilia kwa siri nikathibitisha kuwa, kumbe nina share nyapu na rafki yangu. Nikajikataa
 
Amejawa na namba za maboys kwenye simu zake,nikimuuliza anasema ni marafiki tu si kingine,siku moja nikaona hadi namba za rafki yangu kabisa, nilipofuatilia kwa siri nikathibitisha kuwa, kumbe nina share nyapu na rafki yangu. Nikajikataa
Mhhhh mhahahahaha mhahahahha
 
😂 sikimuacha ila watu wa mikopo ya mitandaoni walinifurahisha, walihack watu naowasiliana nao naye alikua wa hivi karibuni wakamtumia zile text zao mara ni shoga mara amekubali uza nn 😂 dem akapiga simu hayo mambo nisimuwekemo kuanzia hapo vibe likakata 😂
 
Back
Top Bottom