Red flag gani ilikukimbiza kutoka kwa mwanaume/mwanamke uliyekuwa ukimtaka?

Red flag gani ilikukimbiza kutoka kwa mwanaume/mwanamke uliyekuwa ukimtaka?

Si kwa wanaume tu, uchafu upo kwa 'kada' zote.

Nikikutana na mtu kwa ajili ya kufanya mapenzi, awe ni mtu mzima halafu ni mchafu, nitasitisha zoezi hilo na kuondoka bila kujali gharama nilizopoteza.

Kwanini asijiandae kwenye tukio hilo, siwezi kufanya mahusiano na mtu mchafu chafu asiyejitambua.
Afadhali umetutetea wanaume katika hili.
 
Nimemkumbuka Stella, alikua akikosea hata kosa liwe kubwa kiasi gani haombi msamaha, zaidi atatengeneza mazingira wewe ndio uonekane mkosaji.

Ataanza kujiliza na kukumbushia situations za nyuma huku akisema "mbona ww ulishafanyaga hivi wkt ule!" Yani ili mradi asionekane yeye pekee ndiye mwenye kosa wakati ule.

Akiona ameshindwa kukutengenezea kosa, basi ataropoka kitu cha kukukera ili ukasikirike umchape kofi. Hapo sasa kibao kitageuka kwako kua haumpendi, unampiga n.k. Alikua na drama nyingi sana sana ambazo niliziona ni red flags za kujenga nae familia, na sasa ameolewa huko Mungu amuongoze mume wake asimkinai kwa hayo mapungufu aisee.
 
Si kwa wanaume tu, uchafu upo kwa 'kada' zote.

Nikikutana na mtu kwa ajili ya kufanya mapenzi, awe ni mtu mzima halafu ni mchafu, nitasitisha zoezi hilo na kuondoka bila kujali gharama nilizopoteza.

Kwanini asijiandae kwenye tukio hilo, siwezi kufanya mahusiano na mtu mchafu chafu asiyejitambua.
Kiukweli huwa inakera sana, unatoka nyumbani kwako ukiwa msafi na unanukia ukitegemea unayekutana nae nae atakuwa, ila utakachokutana nacho sasa, ni kinyaa.
Kiukweli pande zote wake kwa waume inabidi wajirekebishe.
 
Back
Top Bottom