Well, sishangai kitu hapa kwani NDIVYO TULIVYO!..
wakuu zangu inabidi tusome taarifa hii kwa makini sana kwani binafsi naamini kabisa kama kweli utafiti huu ulifanyika wakati vigogo wanakamatwa inawezekana maelezo haya kuwa yana ukweli...
Akitoa taarifa ya utafiti huo jana kwa waandishi wa habari, mtafiti mkuu wa Redet, Dk Benadetha Killian alisema kuwa ukilinganisha takwimu za Oktoba 2006 na Oktoba 2007, asilimia ya wale wahojiwa ambao wanasema wanaridhika sana na utendaji kazi wa Rais Kikwete imepungua kutoka asilimia 69 Oktoba 2006 hadi asilimia 44 mwezi Oktoba 2007 na sasa imefikia asilimia 39.5 hadi Novemba mwaka jana...