JF tulisema mapema kabla ya REDET kushindwa kwa wabunge wa CCM tena basi JF ilisema hata mbinu za kuwamwaga wapiganaji REDET hawakufika huko. Tatizo kubwa la REDET ni jinsi gani walitumia ukusanyaji wa data zao kuhusiana na imani ya wananchi kwa viongozi hasa kiti cha Ikulu.
Binafsi unapoanza na kuonyesha uwezekano wa makosa kuwa ni ya mbunge na sio ya rais kisaikologia unamjengea mtu majibu ya mkosa. Kama mtu akimlaumu mbunge wake mara nyingi hushindwa kuunganisha lawama hizo na uongozi wa juu yaani rais..
Pia unaposhindwa kuweka upinzani badala yake ukaweka Ukuta ni upotoshaji wa makusudi ikiwa maswali yenyewe hatayahusiana na utendaji kazi wa kiongozi aliyepo haswa ikiwa hakuna kipimo halisi cha mafanikio yanayohusu particular areas. REDET walipanga matokeo kama yale ya refa wa mpira baina ya Ivory Coast na Brazil kuachia goli akijua wazi mkono ulitumika mara mbili kusogeza mpira mbele..
Na hakika Ushindi utapatikana, hakuna utabiri unaopangwa.
Binafsi unapoanza na kuonyesha uwezekano wa makosa kuwa ni ya mbunge na sio ya rais kisaikologia unamjengea mtu majibu ya mkosa. Kama mtu akimlaumu mbunge wake mara nyingi hushindwa kuunganisha lawama hizo na uongozi wa juu yaani rais..
Pia unaposhindwa kuweka upinzani badala yake ukaweka Ukuta ni upotoshaji wa makusudi ikiwa maswali yenyewe hatayahusiana na utendaji kazi wa kiongozi aliyepo haswa ikiwa hakuna kipimo halisi cha mafanikio yanayohusu particular areas. REDET walipanga matokeo kama yale ya refa wa mpira baina ya Ivory Coast na Brazil kuachia goli akijua wazi mkono ulitumika mara mbili kusogeza mpira mbele..
Na hakika Ushindi utapatikana, hakuna utabiri unaopangwa.