Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Mshika kibendera aliamua kipi?Wakati saidoo anapiga beki wa singida alikua anataka kama kublock mpira refa akaadaika kujua umeguswa na kile kitendo cha kipa kuufuata mpira nje refa akajua mpira uliguswa kabla ya kutoka
Review hapoVipi usahihi wake kwenye uhalali wa kona
Atletico Madrid mkuuKila sekunde ina thamani kwenye football nmetoka kuangalia mechi ya Real Madrid na Athletic Madrid yametokea kama ya Singida na Simba
Refa aliyechezesha mechi kati ya Simba na Singida alikuwa sahihi kwa asilimia mia.
Fifa ilitambulisha Sheria mpya kwenye mashindano ya world cup yaliyofanyika Qatar, Moja ya Sheria waliotambulisha ni kwamba dakika za nyongeza zitaongezwa kwa kadri muda wa mchezo ulivyosimama na pia kwenye dakika za nyongeza muamuzi atakuwa na uwezo wa kuzidisha dakika na sio kufupisha dakika.
Ndio maana kwenye mechi za kombe la Dunia na kwenye ligi za Ulaya tunaona extra time Hadi dakika 100,101 ,98..Newcastle msimu huu walifungwa nje ya dakika ya nyongeza, Arsenal wameshapata matokeo baada ya extra time kuisha
View attachment 2867894
Refa ndio mwamuzi wa mwisho pale Kati refa akiwa ameona tukio haina haja kumwangalia mwamuzi ambaye alikua mbali na mpira ulipo lile tukio refa alikua palepaleMshika kibendera aliamua kipi?
Utopolo hawalitambui hilo hasa inaposhinda Simba 😂😂Refa aliyechezesha mechi kati ya Simba na Singida alikuwa sahihi kwa asilimia mia.
Fifa ilitambulisha Sheria mpya kwenye mashindano ya world cup yaliyofanyika Qatar, Moja ya Sheria waliotambulisha ni kwamba dakika za nyongeza zitaongezwa kwa kadri muda wa mchezo ulivyosimama na pia kwenye dakika za nyongeza muamuzi atakuwa na uwezo wa kuzidisha dakika na sio kufupisha dakika.
Ndio maana kwenye mechi za kombe la Dunia na kwenye ligi za Ulaya tunaona extra time Hadi dakika 100,101 ,98..Newcastle msimu huu walifungwa nje ya dakika ya nyongeza, Arsenal wameshapata matokeo baada ya extra time kuisha
View attachment 2867894
Vipi maamuzi ya kona nayo??Ila kumbuka singida walipoteza muda sana zaidi ya dk 25...pia Simba wamrnyimwaa penalt 2 za wazi kabisa
PoleSiku simba akiwa aaongoza alafu zikaongezwa dakika 10 usije unalialia hapa kenge wewe.
Kwani umeumia?Vipi maamuzi ya kona nayo??
Acha kurukaruka jibu swali hilo
Una hakika baada ya saido kupiga hakuna mchezaji wa Singida aliyeugusa ndo maana kipa akakimbia kuudaka akadakia nje?Vipi maamuzi ya kona nayo??
Acha kurukaruka jibu swali hilo
Refa wa jana ni mzembe kweli, kwani alikataa penalty mbili za halali ambazo simba walizistahili.Shida haikua muda wa nyongeza kwakua muda uo unatumiwa na timu zote mbili.
Shida ilikua namna Refa alivyo toa Kona, wakati mpira umepigwa na Saidoo na kipa ameudaka mpira ukiwa umesha vuka chaki na kwenye soka Sheria Ina angalia mpira na si mwili wa mchezaji.
Mpira aliopiga Saidoo ulishavuka chaki nakuwa Gool kick na line 1 Alisha onyesha ni Gool kick.
Refa wa kati analazimisha Kona kwa mpira ambao line amesema gool kick.
Ilo ndilo lililo wafanya wachezaji wa Singida ku mzonga refa na walikua sahihi.
Ata ingekua kipa kaudaka nje kaurudisha ndani Bado inabaki ni Gool kick.
Kinacho angaliwa ni mpira na chaki zake.
Maamuzi ya kona hayakuwa halali, vipi maamuzi ya Penalty nayo?Vipi maamuzi ya kona nayo??
Acha kurukaruka jibu swali hilo
alikuwa anaudaka wa nini huo mpira uliotoka nje ili hali walikuwa wanaongoza?? tumia akili acha kutumia matako yaliyowekwa mwiko katikati.Shida haikua muda wa nyongeza kwakua muda uo unatumiwa na timu zote mbili.
Shida ilikua namna Refa alivyo toa Kona, wakati mpira umepigwa na Saidoo na kipa ameudaka mpira ukiwa umesha vuka chaki na kwenye soka Sheria Ina angalia mpira na si mwili wa mchezaji.
Mpira aliopiga Saidoo ulishavuka chaki nakuwa Gool kick na line 1 Alisha onyesha ni Gool kick.
Refa wa kati analazimisha Kona kwa mpira ambao line amesema gool kick.
Ilo ndilo lililo wafanya wachezaji wa Singida ku mzonga refa na walikua sahihi.
Ata ingekua kipa kaudaka nje kaurudisha ndani Bado inabaki ni Gool kick.
Kinacho angaliwa ni mpira na chaki zake.