Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Mbumbumbu fc chupu chupu huko kmc complexMakosa ya kibinadamu
Ligi hii ni aibu ndio maana niliacha kuifuatilia Leo naifuatiloa naona mbumbumbu fc wanabebwaHivi Aya mambo wanayo Fanya marefa wahusika, kamati ya waamuzi, Bodi ya Ligi hamjisikii vibaya!! Mbona ni mambo yanayo jirudia Tena kwa timu Moja hamuoni kama Yana shusha hadhi ya Ligi yetu.
Hii Ligi inaonekana mpaka nje ya mipaka yetu hivi tunaonekana vipi?
Mbumbumbu fc hoiWamshukuru refa
Hahaha 🤣🤣🤣"Gori"njoo nikuonyeshe goli lilivyo
Mbumbumbu fc hoiMbumbumbu fc hoi
AahaaaaaMakosa ya kibinadamu
uje kwenye pati mkuuHahaha 🤣🤣🤣
Mbumbumbu fc hoiuje kwenye pati mkuu
Hiyo inaitwa namna gani paleNamna refa alivyomaliza game hata mashabiki wa Koloz wameangua kicheko. Tumecheka wote bandani. Ligi imeanza kuwa comedy sasa
njoo kwenye pati mkuuMbumbumbu fc hoi
Mbumbumbu fc wamebebwaWachezaji wa coastal hawakutaka kucheza mpira tangu dakika za nyongeza ziketangazwa, nafikiri wanastahili walichopewa nje ya sheria za mchezo