akatiwanya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 674
- 868
Pu zangu pamoja zimeviria damu kwa kuzifinya na Koleo ili Madunduka sc wasipate ushindi, wala sioni tatizo, nikimeza Panadol tu zitakuwa sawa uku nikishangilia 2-2 raha mustarehe.Leo tumeona maamuzi mabovu ya refaree mechi ya mbumbumbu fc vs coast union kocha kamaliza mpira mchezaji akiwa kwenye move ya kufunga gori hivi hizi mbeleko mpaka lini Hawa mbumbumbu fc aisee naagiza huyu refa afungiwe mbumbumbu fc hoi huko kmc complex tukiwaambia timu hamna hapo wanakataa haya Leo wamebebwa walitaka kudharirika