ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Ni katika duru ya pili ya marudiano sasa ni dkk ya 83,T.P.Mazembe wanacheza wakiwa pungufu,waamuzi ni kama wote wako upande wa berkane,
Kila juhudi hapa inafanyika mazembe watolewe.very sad mpira wetu wa afrika.hadi sasa aggregate inasoma 2-2.
Kila juhudi hapa inafanyika mazembe watolewe.very sad mpira wetu wa afrika.hadi sasa aggregate inasoma 2-2.